digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 10,404
- 22,962
Wewe naye Bure kabisausitumie nguvu nyingi angalia mfano huu haipo na ipo inajieleza vizuri. lugha sahihi ni Hairisha. huwa tuna hairisha safari
Wewe naye Bure kabisausitumie nguvu nyingi angalia mfano huu haipo na ipo inajieleza vizuri. lugha sahihi ni Hairisha. huwa tuna hairisha safari
Ni kitenzi elekezi hicho faza.Kwa nini
Utumiaji wa maneno umekuwa vituko sana.Neno ni ahirisha.Sasa utakutana na;-Habari wataalamu wa lugha.
Naomba kuondolewa utata kuhusiana na hili neno. Lipi ni sahihi "Hairisha" au "Ahirisha".
Maana siku hizi yanatumika yote na haieleweki lipi ni sahihi.
Ni kujifunza mkuu ila kwa mlivyo mshukia nafikiri kipindi kingine atapata A kabisa😅Wewe naye Bure kabisa
Yeah nimeelewa sasaNi kitenzi elekezi hicho faza.
Kwa sisi vijana wa zamani, tuliofundishwa na walimu makini hatuchanganyi kabisa A na H. 😁A na H kwa kiswahili zina sound inayo endana hivyo ni rahisi kwenye uandishi mtu abumbe
Mimi pia niwazamni😅😅😅 sema lafudhi ya kichaga ina athari kubwa kwenye A na h kutoka matamshi kwenda maandishi kwa baadhi ya miundo ya sentensi na meneno.Kwa sisi vijana wa zamani, tuliofundishwa na walimu serious hatuchanganyi kabisa A na H. 😁
Ila kwa sasa sio ajabu kabisa kuona mwalimu wa somo la kiswahili anaandika "hasubuhi" huwa nashangaa kwakweli. Au mwalimu anaandika "kweri" inashangaza.
Je Ghairisha?Ni kitenzi elekezi hicho faza.
Mkuu, inaelekea mwalimu wako wa kiswahili alikua anasinzia darasani.usitumie nguvu nyingi angalia mfano huu haipo na ipo inajieleza vizuri. lugha sahihi ni Hairisha. huwa tuna hairisha safari
OnekanaMkuu, inaelekea mwalimu wako wa kiswahili alikua anasinzia darasani.
Nikuulize lingine.
A. ONYESHA
B. ONESHA.
Bora katika matamshi itaeleweka, nikimsikia Heche anawema "kweri mmeerewa" simshangai kabisa ila akiandika "kweri mmeerewa" nitashangaa 😁Mimi pia niwazamni😅😅😅 sema lafudhi ya kichaga ina athari kubwa kwenye A na h kutoka matamshi kwenda maandishi kwa baadhi ya miundo ya sentensi na meneno.
Kwenye A na H ni kawaida , hata ukiandika sio rahisi watu wengi wang'amue labda wale manguli wa kiswahili tu.Bora katika matamshi itaeleweka, nikimsikia Heche anawema "kweri mmeerewa" simshangai kabisa ila akiandika "kweri mmeerewa" nitashangaa 😁
Au lafudhi inaenda hadi kuandika?? Sijawahi kuona Robert Heriel Mtibeli kaandika "thithi" badala ya sisi.
Mimi nitang'amua kabisa, kwakweli kiswahili fasaha mwalimu wangu alijitahidi.....ishu kinge, kingeee baba kingee 😂😂😂Kwenye A na H ni kawaida , hata ukiandika sio rahisi watu wengi wang'amue labda wale manguli wa kiswahili tu.
Haaa haaa haaaNipe jibu tafadhali kuliko kuleta mipasho.
Hivi ni ni hatucheki na wowote au hatucheki na yeyote?Mimi nitang'amua kabisa, kwakweli kiswahili fasaha mwalimu wangu alijitahidi.....ishu kinge, kingeee baba kingee 😂😂😂
Wametohoa kutoka neno Ghairi..kuacha kufanya hilo jambo kwa wakati huu na kufanya baadae..Je Ghairisha?
Kwa hiyo pia ni sawa kutumia popote tu bila kujali ni hali gani?Wametohoa kutoka neno Ghairi..kuacha kufanya hilo jambo kwa wakati huu na kufanya baadae..