captain zaka
JF-Expert Member
- Apr 19, 2025
- 262
- 258
Ahirisha❌
Hairisha❌
Ghairi ✅
ikitumika kweny sentensi ; Ame ghairi kufanya kile
Hairisha❌
Ghairi ✅
ikitumika kweny sentensi ; Ame ghairi kufanya kile
sishangai ndiyo maana waandishi wanasema hichi bala ya hikiSio kweli.
Kiswahili fasaha ni AHIRISHA
nyie ndiyo wale mnasema hivhi bala ya kusema hiki.Unakosea anza ahirisha, ondoa H
nyie ndiyo wale mnasema hichi bala ya kusema hiki.
Habari wataalamu
ukijua neno sahihi kati ya mtu hayupo na mtu ayupo. jibu hilo hilo ni sawa na hairisha na ahirisha.Habari wataalamu wa lugha.
Naomba kuondolewa utata kuhusiana na hili neno. Lipi ni sahihi "Hairisha" au "Ahirisha".
Maana siku hizi yanatumika yote na haieleweki lipi ni sahihi.
vijana wa siku hizi hujuaji mwingi kama suruali na mkanda. Hivi ni hawezi au awezi?. Hivi ni hawezi kuja au awezi kuja. Gen Z bwan.a. Tunakoelekea tutaanza kuulizana ni neno sahihi ni lipi kati ya xaxa au sasa.Habari wataalamu wa lugha.
Naomba kuondolewa utata kuhusiana na hili neno. Lipi ni sahihi "Hairisha" au "Ahirisha".
Maana siku hizi yanatumika yote na haieleweki lipi ni sahihi.
nyie ndio wale wale mnaosema afu uje badala ya kusema halafu ujeHabari wataalamu wa lugha.
Naomba kuondolewa utata kuhusiana na hili neno. Lipi ni sahihi "Hairisha" au "Ahirisha".
Maana siku hizi yanatumika yote na haieleweki lipi ni sahihi.
Hizo ni uongoyes akiwa ni mtu mmoja ana hairisha wakiwa zaidi ya mtu mmoja wana hairisha safari
Sio "hujuaji" neno sahihi ni UJUAJIvijana wa siku hizi hujuaji mwingi kama suruali na mkanda. Hivi ni hawezi au awezi?. Hivi ni hawezi kuja au awezi kuja. Gen Z bwan.a. Tunakoelekea tutaanza kuulizana ni neno sahihi ni lipi kati ya xaxa au sasa.
Sahihi ni AHIRISHAHAIRISHA ndio sahihi
Sio sahihi.HAIRISHA ndio sahihi
Wote tupo sawaSahihi ni AHIRISHA
Kwa niniSio sahihi.
Kikao kimeahirishwaWote tupo sawa
Kweli upo swa sawa ni AHIRISHA👏👏Sahihi ni AHIRISHA
Upo swa kabisaKikao kimeahirishwa
Kikao kimehairishwa
🙄 Hamna usawa hapa
A na H kwa kiswahili zina sound inayo endana hivyo ni rahisi kwenye uandishi mtu abumbeKikao kimeahirishwa
Kikao kimehairishwa
🙄 Hamna usawa hapa