Ni "HAIRISHA" au "AHIRISHA"

Ni "HAIRISHA" au "AHIRISHA"

Mkuu unatumia nguvu kubwa sana kudhihirisha ukilaza wako, siyo maneno yote yanafuata huo muundo wako.

Anyway, kiswahili fasaha ni ghairi-ghairisha
nyie ndio wale wale mnaosema afu uje badala ya kusema halafu uje
 
Maneno mawili ya kiarabu

Akhirisha; postpone - sogeza mbele

Ghairisha ; cancel - futa lisiwepo
 
Habari wataalamu wa lugha.

Naomba kuondolewa utata kuhusiana na hili neno. Lipi ni sahihi "Hairisha" au "Ahirisha".
Maana siku hizi yanatumika yote na haieleweki lipi ni sahihi.
Yote sawa tu wacha kupoteza muda...
NO LEFOLM NO ERECTION
 
Habari wataalamu wa lugha.

Naomba kuondolewa utata kuhusiana na hili neno. Lipi ni sahihi "Hairisha" au "Ahirisha".
Maana siku hizi yanatumika yote na haieleweki lipi ni sahihi.
"AGHIHISHA"
 
Mkuu unatumia nguvu kubwa sana kudhihirisha ukilaza wako, siyo maneno yote yanafuata huo muundo wako.

Anyway, kiswahili fasaha ni ghairi-ghairisha

Mkuu unatumia nguvu kubwa sana kudhihirisha ukilaza wako, siyo maneno yote yanafuata huo muundo wako.

Anyway, kiswahili fasaha ni ghairi-ghairisha
Kuna Ahiri na ghairi
Ahirisha ni postponed

Ghairi ni cancelled
 
Nzuri sana Angel! Hii ndiyo tofauti kati ya "ghairisha" na "ahirisha":

1. Ahirisha – Maana yake ni kuchelewesha jambo lifanyike baadaye.
Mfano: Tumeahirisha mkutano hadi kesho.

2. Ghairisha – Maana yake ni kufuta jambo kabisa, au kubadilisha kabisa mpango.
Mfano: Tumeghairisha safari kwa sababu ya mvua.

Kwa ufupi:
  • Ahirisha = Chelewesha
  • Ghairisha = Futa au batilisha

Ni maneno yanayofanana kidogo lakini yana maana tofauti.
Ukihitaji mifano zaidi au maelezo ya kina, niambie tu!
 
Back
Top Bottom