udambwi udambwi ni msemo wa mtaani ukimaanisha vionjo.Urembo rembo,manjonjo,sherhe (sherehesha)
udambwi udambwi ni msemo wa mtaani ukimaanisha vionjo.Urembo rembo,manjonjo,sherhe (sherehesha)
Inasikitisha sana, walimu wa upe walikua fresh sanaKwa sisi vijana wa zamani, tuliofundishwa na walimu makini hatuchanganyi kabisa A na H. 😁
Ila kwa sasa sio ajabu kabisa kuona mwalimu wa somo la kiswahili anaandika "hasubuhi" huwa nashangaa kwakweli. Au mwalimu anaandika "kweri" inashangaza.
Hivi ni apo au hapo?Heeeeee 😂😂😂
Sasa mimi nimesema nini!?..sababu udambwi upo kwenye mpira,usimuliaji,hata upishi,na aliyelileta mtaani ni mbwiga mbwigukeudambwi udambwi ni msemo wa mtaani ukimaanisha vionjo.
Mtu anataka chakula anasema weka na udambwi udambwi. Urembo kwenye chakula???Urembo rembo,manjonjo,sherhe (sherehesha)
Nina A 5 ya kiswahili ikiwemo. Nimemaliza form 4 mwaka 96Utakua mtoto wa 90 katikati au mwishoni,hamjui kiswahili, wazee wa '..hiko ndo kilimfanya...'
HapoHivi ni apo au hapo?
Usitusishe bana jf hakuna mwenye F wala D 😁Nina A 5 ya kiswahili ikiwemo. Nimemaliza form 4 mwaka 96
Moja ya sababu za kufaulu mitihani ni kuulizwa maswali unayoyajuaNina A 5 ya kiswahili ikiwemo. Nimemaliza form 4 mwaka 96
Kukuongezea uvaaji wa kata K hapa Tanzania ulianza mwaka 1994 nikiwa form 2 na sikuwahi kuvaa hivyo.Nina A 5 ya kiswahili ikiwemo. Nimemaliza form 4 mwaka 96
Elewa muktadha, kwenye mpira udambwi ni chenga zile,kwenye supu ndimu na pilipili, kwenye kutiana viuno na milioMtu anataka chakula anasema weka na udambwi udambwi. Urembo kwenye chakula???
Au ni neno ambalo maana inategemea na mazingira
Kuhusu kikao?Ahirisha❌
Hairisha❌
Ghairi ✅
ikitumika kweny sentensi ; Ame ghairi kufanya kile
wala sikutishi madamUsitusishe bana jf hakuna mwenye F wala D 😁
Sahihi ni tumbukizaTumbukiza au Dumbukiza...?
Nimemkuta hayupo...?
Nitarudi au narudi ilihali anaenda...?
Wabongo Kiswahili fasaha kinatushinda sana.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Tumia neno Ghairi kwa kuelezea kama ni mtu mmoja Ame kama ni wengi Wame..Kwa hiyo pia ni sawa kutumia popote tu bila kujali ni hali gani?
Hapa umeangalia usahihi kulingana na eneo ulilopo, ila sio usahihi katika lugha ya kiswahili.Neno sahihi ni "GHAIRISHA(watu wa bara wanatamka hairisha)" kutoka katika neno "GHAIRI"
Maneno mengine ni kama
-Gharama(watu wa bara wanatamka garama)
-Shaghalabaghala(watu wa bara wanatamka shagalabala)
Cc Mahondaw
Alianza nani kuvaa kata k?..kwa taarifa yako kata k tz ilivaliwa 1970-80s huko tunduru waliita debweza(mlegezo) wakiiga wababe wa cinemaKukuongezea uvaaji wa kata K hapa Tanzania ulianza mwaka 1994 nikiwa form 2 na sikuwahi kuvaa hivyo.
Yeyote na Yoyote wabongo hawajui namna ya kuyatumia ipasavyo.Hatucheki na wowote au yeyote....
Maneno yote yapo sawa inategemea hicho usichocheka nacho ni kitu gani
Kama haucheki na mtu ni
(hatucheki na yeyote)
Kama hatucheki na kitu ni
(hatucheki na chochote)
Kama hatucheki na muda ni (hatucheki na wowote)
Kuloga na kuroga naona yanatumika yote, inategema na sehemu na sehemu.
Neno ambalo limenihangaisha mie ni kachumbali/kachumbari 😁