PlayBoyMwema
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 1,714
- 1,821
- Thread starter
- #21
Kweli aisee ziko chini sana au we sio mpenz wa movies na streaming services?Dahh zangu zipo chin mnoView attachment 1493690
Kweli aisee ziko chini sana au we sio mpenz wa movies na streaming services?Dahh zangu zipo chin mnoView attachment 1493690
Duh GB 50 we kiboko mzee baba...Nimetumia GB 50. Bahati mbaya leo hii nimereset data.
We ndio mtu unaeongoza hadi sasa kwa matumiz ya data kwenye huu uzi..agiza pepsi kwa mangi nitalipa
Reasonable usage...48gb
Aisee ina maana kwa siku unaweza tumia mb 200 hadi 300 tu..?Gb 5 tu
Labda simu yako sio smartphone...
Ndiyo,,siangaliii video,streaming,halotel wanajitahidi kweli kifurushi cha gb 1 nikimalize ndani ya siku tatu,,nami wakinifanyia hivyo nawaweka lokapu mwezi,,,matokeo yake wameanza kunielewa,gb 1 natumia siku 5,,na nipo online muda mwingi tuAisee ina maana kwa siku unaweza tumia mb 200 hadi 300 tu..?
Mfano mimi sioni logic ya kulipa netflix dola 10,,then tena nilazimike kutumia gb 50 kwa mwezi kwa kuangalia,,huo ufujaji wa hela,,hizo pesa kwa mwaka zinatosha kununua kiwanja cha kujenga dubaiKweli aisee ziko chin sana au we sio mpenz wa movies na streaming services?
Ndiyo,,siangaliii video,streaming,halotel wanajitahidi kweli kifurushi cha gb 1 nikimalize ndani ya siku tatu,,nami wakinifanyia hivyo nawaweka lokapu mwezi,,,matokeo yake wameanza kunielewa,gb 1 natumia siku 5,,na nipo online muda mwingi tu
Mbona matumiz yako hapo sio ya mwezi wa tano hadi wa 6 mwishoni??
Mtandao gani huu mkuu??..maana hapo wastani kwa kila Gb unauziwa 1000gharama zake kama elfu 29 hivi.View attachment 1494227
Ina maana matumiz yako kwa siku hayafiki Gb 1 ...Duh 18GB
Sikuangalia trhMbona matumiz yako hapo sio ya mwezi wa tano hadi wa 6 mwishoni??
AirtelMtandao gani huu mkuu??..maana hapo wastani kwa kila Gb unauziwa 1000