Watanzania walitumia takriban Tsh. bilioni 199.41 kwa ajili ya Internet mwezi Juni

OLS

JF-Expert Member
Oct 12, 2019
419
670
TCRA katika taarifa yao kuhusu ufafanuzi wa bei za data iliyotolewa Mei 9, 2022 ilionesha kuwa zaidi ya 95% ya watanzania hutumia data kwa kujiunga vifurushi vinavyotolewa na mitandao. Yaani watanzania hawatumii internet kabla ya kujiunga na kifurushi.

Suala hili limenifanya niangalia kwa mwezi Juni watanzania walitumia Tsh ngapi kwa kuangalia taarifa zinazotolewa na TCRA kila robo ya mwaka. Kwa mwezi Juni 2023, watanzania walitumia terabyte 83 ambazo ni sawa na Megabytes(MBS) 88,627,220,736. Kwa kuangali kwa wastani katika vifurushi bei ya mb moja ni Tsh 2.25 ambapo ukizidisha utapata Tsh. 199,411,000,000 yaani bilioni 199.41.

Fedha zinazotumika kununua data ni kubwa kwa 64% ya fedha zinazotumika kwa kupiga simu na kutuma sms. Hii inaonesha kuwa watanzania wanatumia zaidi data kwa mawasiliano kuliko kupiga simu au kutuma sms.

Ukiangalia matumizi ya serikali kwa mwezi June 2023 ilikuwa ni Tsh Trilioni 2.35. Yaani hapa nasema, matumizi ya raia kwenye kununua data ni sawa na 8% ya matumizi ya serikali(Total expenditure and net learning).
1695807750551.png

Kaa humo. Mimi naenda kula mabungo.

Signed OLS
 
TCRA katika taarifa yao kuhusu ufafanuzi wa bei za data iliyotolewa Mei 9, 2022 ilionesha kuwa zaidi ya 95% ya watanzania hutumia data kwa kujiunga vifurushi vinavyotolewa na mitandao. Yaani watanzania hawatumii internet kabla ya kujiunga na kifurushi.

Suala hili limenifanya niangalia kwa mwezi Juni watanzania walitumia Tsh ngapi kwa kuangalia taarifa zinazotolewa na TCRA kila robo ya mwaka. Kwa mwezi Juni 2023, watanzania walitumia terabyte 83 ambazo ni sawa na Megabytes(MBS) 88,627,220,736. Kwa kuangali kwa wastani katika vifurushi bei ya mb moja ni Tsh 2.25 ambapo ukizidisha utapata Tsh. 199,411,000,000 yaani bilioni 199.41.

Fedha zinazotumika kununua data ni kubwa kwa 64% ya fedha zinazotumika kwa kupiga simu na kutuma sms. Hii inaonesha kuwa watanzania wanatumia zaidi data kwa mawasiliano kuliko kupiga simu au kutuma sms.

Ukiangalia matumizi ya serikali kwa mwezi June 2023 ilikuwa ni Tsh Trilioni 2.35. Yaani hapa nasema, matumizi ya raia kwenye kununua data ni sawa na 8% ya matumizi ya serikali(Total expenditure and net learning).
View attachment 2763907
Kaa humo. Mimi naenda kula mabungo.

Signed OLS
Tunajiunga bando tuangalie watoto wazuri wanaovaa nusu uchi
 
TCRA katika taarifa yao kuhusu ufafanuzi wa bei za data iliyotolewa Mei 9, 2022 ilionesha kuwa zaidi ya 95% ya watanzania hutumia data kwa kujiunga vifurushi vinavyotolewa na mitandao. Yaani watanzania hawatumii internet kabla ya kujiunga na kifurushi.

Suala hili limenifanya niangalia kwa mwezi Juni watanzania walitumia Tsh ngapi kwa kuangalia taarifa zinazotolewa na TCRA kila robo ya mwaka. Kwa mwezi Juni 2023, watanzania walitumia terabyte 83 ambazo ni sawa na Megabytes(MBS) 88,627,220,736. Kwa kuangali kwa wastani katika vifurushi bei ya mb moja ni Tsh 2.25 ambapo ukizidisha utapata Tsh. 199,411,000,000 yaani bilioni 199.41.

Fedha zinazotumika kununua data ni kubwa kwa 64% ya fedha zinazotumika kwa kupiga simu na kutuma sms. Hii inaonesha kuwa watanzania wanatumia zaidi data kwa mawasiliano kuliko kupiga simu au kutuma sms.

Ukiangalia matumizi ya serikali kwa mwezi June 2023 ilikuwa ni Tsh Trilioni 2.35. Yaani hapa nasema, matumizi ya raia kwenye kununua data ni sawa na 8% ya matumizi ya serikali(Total expenditure and net learning).
View attachment 2763907
Kaa humo. Mimi naenda kula mabungo.

Signed OLS
Ndio hao asilimia 16 aliyoisema Mh. Nape
 
Sasa kuna ubaya gani ...

Dubai GB 2 unazipata Kwa 40,000/= harafu sis tunalialia tu ....
Unajua wastani wa kipato cha mtu wa Dubai? Nikuambia wastani bongo anamake Tsh 400,000 kwa mwezi. Maana kabla haujafananisha bei angalie income level
 
Kuna kitu kinaitwa "Per Capita Income" unakijua..
Tuletee ya Dubai halafu nikupe ya TZ.

Halafu tuanzie hapo

#YNWA
Duh! kuna tofauti kubwa kati ya hizo Per Capital Income na Averaged Income, sasa hapo nakuambia kigezo cha kuangalia bei, unaleta per capital income hauoni kwamba unachanganya basic issues kwenye kuangalia vipimo vya vitu
 
Sasa kuna ubaya gani ...

Dubai GB 2 unazipata Kwa 40,000/= harafu sis tunalialia tu ....
Dubai wanatumia wifi kwa asilimia kubwa ukifika airport ni wifi hotelini ni wifi kila sehemu labda wageni ndio watajiunga na hyo huduma ya gb 2 kwa elfu 40 watu washaacha kununua bundle ni wifi.
 
TCRA katika taarifa yao kuhusu ufafanuzi wa bei za data iliyotolewa Mei 9, 2022 ilionesha kuwa zaidi ya 95% ya watanzania hutumia data kwa kujiunga vifurushi vinavyotolewa na mitandao. Yaani watanzania hawatumii internet kabla ya kujiunga na kifurushi.

Suala hili limenifanya niangalia kwa mwezi Juni watanzania walitumia Tsh ngapi kwa kuangalia taarifa zinazotolewa na TCRA kila robo ya mwaka. Kwa mwezi Juni 2023, watanzania walitumia terabyte 83 ambazo ni sawa na Megabytes(MBS) 88,627,220,736. Kwa kuangali kwa wastani katika vifurushi bei ya mb moja ni Tsh 2.25 ambapo ukizidisha utapata Tsh. 199,411,000,000 yaani bilioni 199.41.

Fedha zinazotumika kununua data ni kubwa kwa 64% ya fedha zinazotumika kwa kupiga simu na kutuma sms. Hii inaonesha kuwa watanzania wanatumia zaidi data kwa mawasiliano kuliko kupiga simu au kutuma sms.

Ukiangalia matumizi ya serikali kwa mwezi June 2023 ilikuwa ni Tsh Trilioni 2.35. Yaani hapa nasema, matumizi ya raia kwenye kununua data ni sawa na 8% ya matumizi ya serikali(Total expenditure and net learning).
View attachment 2763907
Kaa humo. Mimi naenda kula mabungo.

Signed OLS
Hakuna anaetumia data Kwa mawasiliano sana sana ni umbea,uzushi,mziki,video nk kwenye mitandao ya kijamii.

Ni wachache sana wanatumia.kitandao ya kijamii Kwa faida za kibiashara nk

Mwisho unawezaje kutumia internet bila kukiunga bando?
 
Back
Top Bottom