PlayBoyMwema
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 1,714
- 1,821
Hello wakuu hii post ni mahususi kwa ajili ya kushare screenshot za matumizi yetu ya vifurushi vya internet kwa mwezi unaoisha (mwezi wa 6)
Labda kupitia hii post watu wa makampuni ya simu waliopo humu Jamiiforums wakipitia post hii na kuona matumiz ya wateja wao kwa upande wa data ni makubwa wanaweza kutupunguzia bei ya vifurushi vya internet 🙋♂️
Kwa upande wangu hadi mwezi wa 6 unaisha nishatumia takriban Gb 34 za internet. Share GB ulizotumia kwenye comment box hapa chini 👇
Labda kupitia hii post watu wa makampuni ya simu waliopo humu Jamiiforums wakipitia post hii na kuona matumiz ya wateja wao kwa upande wa data ni makubwa wanaweza kutupunguzia bei ya vifurushi vya internet 🙋♂️
Kwa upande wangu hadi mwezi wa 6 unaisha nishatumia takriban Gb 34 za internet. Share GB ulizotumia kwenye comment box hapa chini 👇