Ni bora CHADEMA ifutwe

Ni bora CHADEMA ifutwe

We we Mtu wa pwani huna akili tatizo lako kukaa kijiweni na kunywa chai tu bila kufanya kazi...AKILI ZAKO KAMA ZA MTOTO!


leteni hoja kwa nn kisifutwe chama ambacho baada ya kusaidiana na wanachi kuleta maendeleo kinaleta mifarakano

ni kiasi gani cha hasara kilichosababishwa na chadema tokea jana?
ikiwemo nguvu kazi(watu), utalii(nnaamini wazungu wengi au watalii wanaondoka Arusha)

uharibifu wa thamani za serikali na wananchi wa kawaida


kusimama kwa biashara na kupelekea wizi na mauaji


haya yote yanainyima uhalali chadema kubaki kuwa chama cha siasa


kifutwe
 
mbwa wa mwizi kamwe hajui kama bwana wake ni mwizi.
Mafisadi nao wana Mbwa, mbwa wao hawajui kama mabwana zao ni mafisadi
 
leteni hoja kwa nn kisifutwe chama ambacho baada ya kusaidiana na wanachi kuleta maendeleo kinaleta mifarakano

ni kiasi gani cha hasara kilichosababishwa na chadema tokea jana?
ikiwemo nguvu kazi(watu), utalii(nnaamini wazungu wengi au watalii wanaondoka Arusha)

uharibifu wa thamani za serikali na wananchi wa kawaida


kusimama kwa biashara na kupelekea wizi na mauaji


haya yote yanainyima uhalali chadema kubaki kuwa chama cha siasa


kifutwe

toa sababu kwa nini wewe usifutwe uraia wako??
 
Hivi kwa akili zako timamu unafikiri CHADEMA ndo wamesababisha uvunjifu wa amani? au polisi, kama si polisi ni serikali, wao kila wakiona wananchi wanaandamana kwa amani kabisaaa wanawatwanga virungu, tumeona juzi tu cuf walikuwa wanajiendea kupeleka rasimu yao kwa amani kabisa wakawatwanga, saa hapo crazy ni nani kama si serikali? au akili zako zinatumia ushabiki sana?be honest to God even little bite, haya maisha yanamwisho wake bwana, wangapi walikuwepo....... Mungu anaona na malipo yanananzia hapahapa duniani, motoni ni kumalizia tuu.
 
kutokana na yaliotokea na ambayo yanaendelea kutokea nnaiomba serikali kwa kuangalia sheria zinavyoelekeza kuhusu uwepo wa vyama ambavyo vinawagawa watanzania, vinachochea uvunjifu wa amani, udini na ukabila kuwa ni vyama visivyohitajika tanzania


kwa hio nnaomba kama mwananchi mwenye mapenzi ya nchi yengu chama hiki kifutiwe usajili na viongozi wake wakumbane na mkono wa sheria

futwa wewe, nyama ya makalio mkubwa wewe
 
huyu jamaa,anavuta sigara kwny matank ya petrol
 
9717d1280589826-clever-idea-of-toothbrush-clever-idea-of-toothbrush.jpg
 
Kutokana na yaliotokea na ambayo yanaendelea kutokea nnaiomba serikali kwa kuangalia sheria zinavyoelekeza kuhusu uwepo wa vyama ambavyo vinawagawa watanzania, vinachochea uvunjifu wa amani, udini na ukabila kuwa ni vyama visivyohitajika tanzania


kwa hio nnaomba kama mwananchi mwenye mapenzi ya nchi yengu chama hiki kifutiwe usajili na viongozi wake wakumbane na mkono wa sheria

Wewe mkwere unashangaza sana, pwani ndiyo mnaongoza kwa masikini, CDM iko kwa ajili ya kutukomboa wananchi. Nimekusamehe maana watu wa pwani ndiyo mlivyolelewa
 
Wewe mkwere unashangaza sana, pwani ndiyo mnaongoza kwa masikini, CDM iko kwa ajili ya kutukomboa wananchi. Nimekusamehe maana watu wa pwani ndiyo mlivyolelewa

Usimpe kichwa huyo, kumwita Mkwere ni kumpandisha chati.
Ni wa kuja na Ngalawa huyo!
 
Ikiwa Chadema imeshindwa na ustaarabu bora Msajili akifute Chama hiki,chama ambacho kinashindwa kujidhibiti na kuwezaa kufuata mkondo wa kisiasa,kwa nini hawaiangalii CUF wapi imetoka na wapi ipo ,hii leo !!

Mimi nawashauri Chadema wasitishe kuingia kwenye Bunge mara moja,nawahakikishia serikali itabadili muelekeo ,ni lazima itabadili muelekeo na vile vile lile lengo la kutomtambua Kikwete kama Raisi halali au alieshinda kihalali, hapo hapana ubishi ni lazima CCM na serikali yake ikae sawa na ni njia moja ya kidemokrasia kabisa.

Lakini kuwarubuni wananchi wakati mnaingia bungeni na kula na kusaza ,hili halikubaliki kabisa kisha kutaka kuwaburuza wananchi kwenda kuchezea maji ya washawasha ,nyie wabunge mnakuwa tandize na majokofu ya jumba la bunge,huo utakuwa utapeli kushinda wa mafisadi,amueni moja tuwafahamu.

What a crap!
 
Bila shaka umechanganyikiwa. Nyerere alitabiri kuwa CHADEMA ni chama mbadala
 
Ikiwa Chadema imeshindwa na ustaarabu bora Msajili akifute Chama hiki,chama ambacho kinashindwa kujidhibiti na kuwezaa kufuata mkondo wa kisiasa,kwa nini hawaiangalii CUF wapi imetoka na wapi ipo ,hii leo !!

Mimi nawashauri Chadema wasitishe kuingia kwenye Bunge mara moja,nawahakikishia serikali itabadili muelekeo ,ni lazima itabadili muelekeo na vile vile lile lengo la kutomtambua Kikwete kama Raisi halali au alieshinda kihalali, hapo hapana ubishi ni lazima CCM na serikali yake ikae sawa na ni njia moja ya kidemokrasia kabisa.

Lakini kuwarubuni wananchi wakati mnaingia bungeni na kula na kusaza ,hili halikubaliki kabisa kisha kutaka kuwaburuza wananchi kwenda kuchezea maji ya washawasha ,nyie wabunge mnakuwa tandize na majokofu ya jumba la bunge,huo utakuwa utapeli kushinda wa mafisadi,amueni moja tuwafahamu.

Baba wa Taifa aliisha sema ukiona Chama kimeanzishwa kwa misingi ya udini na ukabila ujue kufa kwake kuko karibu sana. Na sasa wameanza ubaguzi wa kikanda ambapo Kilimanjaro na Arusha ndio wametoka viongozi wengi na wao ndio bora kuzidi wengine. Dhambi hizi zitawamaliza CHADEMA na ndizo zinazo watesa mpaka sasa, mara maandamano bila kibali, nk
 
Bila shaka umechanganyikiwa. Nyerere alitabiri kuwa CHADEMA ni chama mbadala

Acha kupotosha watu, Mwalimu mwenyewe kwenye hotuba zake alisema, kuna weza kuwa na wagombea wengi wa Urais, ila Rais bora atatoka CCM
 
ifutwe ccm kwanza na polisi,halafu wote wapelekwe the HAGUE KWA OCAMPO!
 
Back
Top Bottom