Ni bora CHADEMA ifutwe

Ni bora CHADEMA ifutwe

Malaria sugu bwana... Nahisi akili zako ziko kitovuni
Kutokana na yaliotokea na ambayo yanaendelea kutokea nnaiomba serikali kwa kuangalia sheria zinavyoelekeza kuhusu uwepo wa vyama ambavyo vinawagawa watanzania, vinachochea uvunjifu wa amani, udini na ukabila kuwa ni vyama visivyohitajika tanzania


kwa hio nnaomba kama mwananchi mwenye mapenzi ya nchi yengu chama hiki kifutiwe usajili na viongozi wake wakumbane na mkono wa sheria
 
mimi nafikiri kwanza ufutwe wewe kuwa raia wa tanganyika huru, kwani wewe siyo mtanganyika na ili hali unafaidi matunda na utajiri wa tanganyika, ufutwe wewe na jamii yako yote kwenye list ya watanganyika. Baada ya hapo njoo nafikiri tunaweza zungumza tukusaidiaje ....
 
Kutokana na yaliotokea na ambayo yanaendelea kutokea nnaiomba serikali kwa kuangalia sheria zinavyoelekeza kuhusu uwepo wa vyama ambavyo vinawagawa watanzania, vinachochea uvunjifu wa amani, udini na ukabila kuwa ni vyama visivyohitajika tanzania


kwa hio nnaomba kama mwananchi mwenye mapenzi ya nchi yengu chama hiki kifutiwe usajili na viongozi wake wakumbane na mkono wa sheria
umetumwa na ccm?
 
Wewe huna akili timamu. Tena umenunuliwa na CCM, NA MAFISADI. Umeuza thamani ya utu wako kwa fedha. Heri toilet paper ina kazi kuliko wewe.
 
Kutokana na yaliotokea na ambayo yanaendelea kutokea nnaiomba serikali kwa kuangalia sheria zinavyoelekeza kuhusu uwepo wa vyama ambavyo vinawagawa watanzania, vinachochea uvunjifu wa amani, udini na ukabila kuwa ni vyama visivyohitajika tanzania


kwa hio nnaomba kama mwananchi mwenye mapenzi ya nchi yengu chama hiki kifutiwe usajili na viongozi wake wakumbane na mkono wa sheria

Mapumbavu ya kimataifa yako mengi likiwemo hili!
 
Wewe huna akili timamu. Tena umenunuliwa na CCM, NA MAFISADI. Umeuza thamani ya utu wako kwa fedha. Heri toilet paper ina kazi kuliko wewe.
nimeipenda hii 🙂
 
Mawazo ya kukifuta chama cha ukombozi wa watanganyika kama Chadema ni mawazo mgando. Chadema ndicho chama pekee cha kweli cha ukombozi kwa mdanganyika aliyechoshwa kuonewa na kunyanyaswa na umaskini, maradhi, na ujinga. Miaka 50 baada ya uhuru hakuna matumaini, kila siku ni afadhali ya jana. Watanganyika embu tuamke. Mabadiliko ya kweli hayaji hivi hivi kwa urahisi tu, ETI KWA KUKAA MEZANI KUZUNGUMZA. TUZUNGUMZE NINI WAKATI WEWE UNANIIBIA NA KUNIDHULUMU HAKI YANGU? Ni lazima wakati ukifika udai haki yako bila ya kuogopa virungu vya polisi. Arusha wameonyesha mfano mzuri sana, wamedai haki yao ya msingi ya kikatiba ya kuandamana na kufanya mkutano tena wakiwa na kibali. Tukumbuke, mabadiliko yoyote yale yana gharama, na wanachadema na wapenda maendeleo ya nchi yao wamekubali kubeba gharama hiyo kama tulivyoona jana huko Arusha. EE MWENYEZI MUNGU TUSAIDIE.:A S-devil1::A S-confused1::help::bump::flame:😛eep:
 
ushahidi wa kuonesha kuwa chadema viongozi wao si wapenda amani hii ni kauli ya katibu mkuu wao dr slaa ilionukuliwa kwenye gazeti la mwananchi

"tumevumilia sana, sasa inatosha...tunataka serikali ya kikwete isitawalike tena kwani haki hakuna... Tunaomba jumuiya za kimataifa zituelewe...uchaguzi uliopita matokeo yalichakachuliwa tulikaa kimya, lakini sasa basi,"alisema dk slaa.


source: dk slaa atangaza maandamano nchi nzima
kwa kauli kama hizi kukiacha chama hiki ni kulea kwa makusdi uvunjifu wa amani

hahahhahhaaa wee kweli wa pwani mzee wa vijimambo kishabedua mkono na kidole juuu.... Chwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!! Mchum mchum mw......................................

Always u write crap, u live in craps n u state crap everyday n then!!
 
USHAHIDI WA KUONESHA KUWA CHADEMA VIONGOZI WAO SI WAPENDA AMANI HII NI KAULI YA KATIBU MKUU WAO DR SLAA ILIONUKULIWA KWENYE GAZETI LA MWANANCHI

"Tumevumilia sana, sasa inatosha...tunataka serikali ya Kikwete isitawalike tena kwani haki hakuna... Tunaomba Jumuiya za Kimataifa zituelewe...Uchaguzi uliopita matokeo yalichakachuliwa tulikaa kimya, lakini sasa basi,"alisema Dk Slaa.


SOURCE: Dk Slaa atangaza maandamano nchi nzima
KWA KAULI KAMA HIZI KUKIACHA CHAMA HIKI NI KULEA KWA MAKUSDI UVUNJIFU WA AMANI

unaangalia kauli tu mbona umefungia mdomo yale ya biharamulo,arusha na sehemu nyingine... Ushangai kuona chama kina jeshi(green guard) au hapo hakuna uvunjifu wa amani....
Hiv kusema ushindi ni lazima kwa namna yoyote ile....? kama wewe mshindani unajenga mazingira gani kwa washindani wengine...?
Hapo unachochea unfair play...ndo wanachofanya sisiem
 
Mawazo ya kukifuta chama cha ukombozi wa watanganyika kama Chadema ni mawazo mgando. Chadema ndicho chama pekee cha kweli cha ukombozi kwa mdanganyika aliyechoshwa kuonewa na kunyanyaswa na umaskini, maradhi, na ujinga. Miaka 50 baada ya uhuru hakuna matumaini, kila siku ni afadhali ya jana. Watanganyika embu tuamke. Mabadiliko ya kweli hayaji hivi hivi kwa urahisi tu, ETI KWA KUKAA MEZANI KUZUNGUMZA. TUZUNGUMZE NINI WAKATI WEWE UNANIIBIA NA KUNIDHULUMU HAKI YANGU? Ni lazima wakati ukifika udai haki yako bila ya kuogopa virungu vya polisi. Arusha wameonyesha mfano mzuri sana, wamedai haki yao ya msingi ya kikatiba ya kuandamana na kufanya mkutano tena wakiwa na kibali. Tukumbuke, mabadiliko yoyote yale yana gharama, na wanachadema na wapenda maendeleo ya nchi yao wamekubali kubeba gharama hiyo kama tulivyoona jana huko Arusha. EE MWENYEZI MUNGU TUSAIDIE.:A S-devil1::A S-confused1::help::bump::flame:😛eep:


kwanza elewa hakuna chama kilichosajiliwa kwa kutetea eneo au ujimbo kwa hio kama chadema inapambana kwa ajili ya Tanganyika nalo ni moja ya agizo walilolikiuka na wanatakiwa wafutiwe usajili.

jengine kudai haki bila ya kufata njia zake ni sawa na kuliamuru jahazi kutembea nchi kavu
 
Kutokana na yaliotokea na ambayo yanaendelea kutokea nnaiomba serikali kwa kuangalia sheria zinavyoelekeza kuhusu uwepo wa vyama ambavyo vinawagawa watanzania, vinachochea uvunjifu wa amani, udini na ukabila kuwa ni vyama visivyohitajika tanzania


kwa hio nnaomba kama mwananchi mwenye mapenzi ya nchi yengu chama hiki kifutiwe usajili na viongozi wake wakumbane na mkono wa sheria

Mimi napendekeza wewe Kosti Pipo ufutwe uraia kama mbuzi wa kafara.
 
Kutokana na yaliotokea na ambayo yanaendelea kutokea nnaiomba serikali kwa kuangalia sheria zinavyoelekeza kuhusu uwepo wa vyama ambavyo vinawagawa watanzania, vinachochea uvunjifu wa amani, udini na ukabila kuwa ni vyama visivyohitajika tanzania


kwa hio nnaomba kama mwananchi mwenye mapenzi ya nchi yengu chama hiki kifutiwe usajili na viongozi wake wakumbane na mkono wa sheria
Tutaanza kukufuta kwanza kabla ya kukifuta CHADEMA!
 
We we Mtu wa pwani huna akili tatizo lako kukaa kijiweni na kunywa chai tu bila kufanya kazi...AKILI ZAKO KAMA ZA MTOTO!
 
kwanza elewa hakuna chama kilichosajiliwa kwa kutetea eneo au ujimbo kwa hio kama chadema inapambana kwa ajili ya Tanganyika nalo ni moja ya agizo walilolikiuka na wanatakiwa wafutiwe usajili.

jengine kudai haki bila ya kufata njia zake ni sawa na kuliamuru jahazi kutembea nchi kavu

jengine ndo nini?? Kiswahili cha baharini?

Yakhe! waacha foot prints kila upitako ati?

Popowako mtamu hapo!
 
Mkijaribu kukifuta tutaanzisha kingine...mkikifuta nacho tunawatoa kwa mtutu huko mliko
 
Kazi tunayo bado kuna watu wanaishabikia CCM richa ya yote haya kuanzia EPA,RICHMOND,DOWANS,KIWILA,UCHAKACHUAJI WA KURA,MAUAJI YA WANA CDM ARUSHA
 
Back
Top Bottom