KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,569
- 21,075
Malaria sugu bwana... Nahisi akili zako ziko kitovuni
Kutokana na yaliotokea na ambayo yanaendelea kutokea nnaiomba serikali kwa kuangalia sheria zinavyoelekeza kuhusu uwepo wa vyama ambavyo vinawagawa watanzania, vinachochea uvunjifu wa amani, udini na ukabila kuwa ni vyama visivyohitajika tanzania
kwa hio nnaomba kama mwananchi mwenye mapenzi ya nchi yengu chama hiki kifutiwe usajili na viongozi wake wakumbane na mkono wa sheria