Hee mbona yule katibu mkuu mropokaji alisema sasa siasa zinahamia bungeni? Huyo ndio aliwapotosha Chadema kwa hiyo chama chake ndio kifutwe. CCM ndio wanaopiga kelele na mwisho kuunga mkono hoja we vipiiii....?Inategemea upo mrengo gani,kama ni msukule wa Chadema huko sina la kukufanya,maana umeshachotwa na kasumba za Chadema.Hapa tulipo uma wa wazalendo wa Taifa hili wameshaiona Chadema kuwa haina mshiko ni chama kisichoweza kuonyesha mfano hai na badala yake wamekazania bungeni tu,amini usiamini bengeni hakuna hata moja la faida linaloamuliwa ili kukidhi haja za wazalendo ,ni wao na kutunisha matumbo na kuwajibika kwa yale yanayowanufaisha.
Ni lini na wapi ulisikia hao Chadema kupinga hoja kwa kutumia shilingi ??? Makelele yao ya kupasua maguruneti yamefikia wapi ??? Mwisho wa kikao wanaunga mkono !!! Au sio ? Kila siku mnalipua lakini hakuna anaewasikiliza ,watu wanapinda kushoto nyinyi mnabaki na mwendo mdundo....nyie viipiiiiiii ?