Balozi wa Palestina nchini Tanzania awashukuru wanaopaza sauti kulaani machafuko yanayoendelea

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,814
11,991
BALOZI wa Palestina nchini Tanzania, Hamdi Mansour Abuali amewashukuru Watanzania wanaoendelea kupaza sauti zao kulaani mashambulizi ya makombora yanayofanya na Taifa la Israel katika Ukanda wa Gaza eneo la Palestina.
a2cb6549-cb1b-432a-8db3-02739cc6cc40.jpeg

581d73f0-5e1a-4047-b8b1-88a2f693e75a.jpeg
Balozi Abuali,ametoa shukrani hizo leo Jijini Dar es Salaam mbele ya Waumini mara baada ya swala ya kuombea amani katika nchi ya Palestina .

Aidha,Balozi Abuali,amesema mashambulizi hayo yamekuwa yakitoa roho za watu wasiokuwa na hatia.


Kwa upande wake Kaimu Mkoa wa Dar es Salaam,Shekh Walid Alhad Omar,amesema uhusiano wa Tanzania na Palestina ni wa siku nyingi hivyo na kuwataka watanzania kulaani kile kinachoendelea Palestina.
 
BALOZI wa Palestina nchini Tanzania, Hamdi Mansour Abuali amewashukuru Watanzania wanaoendelea kupaza sauti zao kulaani mashambulizi ya makombora yanayofanya na Taifa la Israel katika Ukanda wa Gaza eneo la Palestina.
Balozi Abuali,ametoa shukrani hizo leo Jijini Dar es Salaam mbele ya Waumini mara baada ya swala ya kuombea amani katika nchi ya Palestina .

Aidha,Balozi Abuali,amesema mashambulizi hayo yamekuwa yakitoa roho za watu wasiokuwa na hatia.


Kwa upande wake Kaimu Mkoa wa Dar es Salaam,Shekh Walid Alhad Omar,amesema uhusiano wa Tanzania na Palestina ni wa siku nyingi hivyo na kuwataka watanzania kulaani kile kinachoendelea Palestina.
Achana na huu uchafu. Unajiaibisha
 
Yalaaniwe magaidi ya Hamas kwa kusababisha vifo vya wasio na hatia. Wateketezwe hamasi ili Waisrael wawe salama na wapalestina wa Gaza wawe salama kama walivyo wapalestina wenzao wa Ramallah.
Israel ni genge la wahuni kama walivyo america sasa mpaka leo hii wanasaidiwa silaha kwa kikundi cha maskani wanashindwa kuwaliza wanauwa wasio na hatia!
 
Manowari kutoka America USS Gerald Ford, imetia nanga Pwani ya Israel ikiwa imebeba ndege vita 70 ili kuongeza kuvu kusambaratisha kikundi cha magaidi Hamas.
Kweli ndege sabini kwa wahuni tu wa maskani uwezo wa kijeshi israel unatia mashaka!
 
BALOZI wa Palestina nchini Tanzania, Hamdi Mansour Abuali amewashukuru Watanzania wanaoendelea kupaza sauti zao kulaani mashambulizi ya makombora yanayofanya na Taifa la Israel katika Ukanda wa Gaza eneo la Palestina.
Balozi Abuali,ametoa shukrani hizo leo Jijini Dar es Salaam mbele ya Waumini mara baada ya swala ya kuombea amani katika nchi ya Palestina .

Aidha,Balozi Abuali,amesema mashambulizi hayo yamekuwa yakitoa roho za watu wasiokuwa na hatia.


Kwa upande wake Kaimu Mkoa wa Dar es Salaam,Shekh Walid Alhad Omar,amesema uhusiano wa Tanzania na Palestina ni wa siku nyingi hivyo na kuwataka watanzania kulaani kile kinachoendelea Palestina.
Kwanini tusianze kuyalaani magaidi ya hammas yaliua waisrael kwenye tamasha la michezo,yamechinja watoto,yamebaka,yameteka raia

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
BALOZI wa Palestina nchini Tanzania, Hamdi Mansour Abuali amewashukuru Watanzania wanaoendelea kupaza sauti zao kulaani mashambulizi ya makombora yanayofanya na Taifa la Israel katika Ukanda wa Gaza eneo la Palestina.
Balozi Abuali,ametoa shukrani hizo leo Jijini Dar es Salaam mbele ya Waumini mara baada ya swala ya kuombea amani katika nchi ya Palestina .

Aidha,Balozi Abuali,amesema mashambulizi hayo yamekuwa yakitoa roho za watu wasiokuwa na hatia.


Kwa upande wake Kaimu Mkoa wa Dar es Salaam,Shekh Walid Alhad Omar,amesema uhusiano wa Tanzania na Palestina ni wa siku nyingi hivyo na kuwataka watanzania kulaani kile kinachoendelea Palestina.
Palestine katika ujumla wake hakuna tatzo,
Tatizo ni Hamasi huko Ghaza
 
Manowari kutoka America USS Gerald Ford, imetia nanga Pwani ya Israel ikiwa imebeba ndege vita 70 ili kuongeza kuvu kusambaratisha kikundi cha magaidi Hamas.
Wachochezi na sio wasuluhishi
 
Back
Top Bottom