chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,002
- 20,662
Watoto wa Mbowe na Lissu wote ni raia wa Marekani na Uingereza.
Mbowe kukutana na mabalozi wa nchi hizo hapa nchini sio ajabu kwa sababu watoto wa Mbowe wana utii kwa nchi ya Marekani na Uingereza, sio Tanzania.
Mbowe hata akiiharibu Tanzania kwa maandamano na vita, yeye hana cha kupoteza kwa sababu watoto eake watakuwa wanalindwa na C.I.A .
Baadhi ya wanachadema wanahoji, James Mbowe, mtoto wa Mbowe, ambaye sio raia wa Tanzania, kwanini anaruhusiwa kushiriki siasa za Tanzania na hata kupewa vyeo vya kisiasa.
Mbowe kukutana na mabalozi wa nchi hizo hapa nchini sio ajabu kwa sababu watoto wa Mbowe wana utii kwa nchi ya Marekani na Uingereza, sio Tanzania.
Mbowe hata akiiharibu Tanzania kwa maandamano na vita, yeye hana cha kupoteza kwa sababu watoto eake watakuwa wanalindwa na C.I.A .
Baadhi ya wanachadema wanahoji, James Mbowe, mtoto wa Mbowe, ambaye sio raia wa Tanzania, kwanini anaruhusiwa kushiriki siasa za Tanzania na hata kupewa vyeo vya kisiasa.