sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,325
- 2,486
Hahahahahaaaaa wewe sio size yangy
hata wewe
Hahahahahaaaaa wewe sio size yangy
Hahahahaaaaa sitishi Nyau Mpwa ila wote tutaonekana vichaa na tutakua tumetoka nje ya mada. Tumalize hii kwanza tufungue nyingine kwenye jukwaa la picha. Unaonaje? Haya jibu hoja yangu
wewe (JUHA) wa kufa cause unaitetea cdm cause wakifanya maandamano ndio unapata kula cause utakimbilia kwenye biashara za watu na kukwapua vitu kama cm ili upate kula but sasa hivi mkiandamana mtapigwa tu, kongoni wewe..!!
Kwanza inabidi upewe pole kwa upeo wako mdogo wa wazua mambo vijana siyo mbugila kwama wewe kiasi kwamba unaweza kuwadanganya kirahisi wakafuata mawazo yako ya kibavicha nchi yetu chini ya ccm imepiga hatua kubwa na kuwa kioo kwa mataifa mengine katiba mpya imeweka baraza la vijana ili vijana wawe na sehemu ya kusemea wakati chagadema kijana haruhusiwi hata kuhoji tu.
Inashangaza sana kuwa watu wanaojipambanua kuwa wanademokrasia ndio wenye udiktekta mkubwa. Sioni tatizo kwa rika lolote kushabikia chama chochote. Kila chama kina wanachama na mashabiki wa kila rika. Hivyo, vijana wanayo haki ya kushabikia chama chochote. Nadhani unapaswa ujishangae zaidi unapoona unashangazwa na vijana wanashabikia wa chama fulani. Tanzania hakuna vyama vya rika. Ingeshangaza kama tungekuwa na vya rika kisha vijana wakajiunga na chama cha wanawake au watoto.
Vyama vya upinzani vimejaa ubinafsi..Chama kama Chadema sio cha Watanzania. Ni cha Mtei .
UKAWA Go.... Unapoona kijana anateteta magamba ana njaa ya madaraka akitazama fadhila ya kesho kutoka kwa wenye vijisenti. Hili limewadharaulisha na wanaonekana kama si watu wenye mapenzi mema na nchi yetu. Wakati umefika na muda wa mabadiliko ni sasa. Ukimkataa Tundu Lisu unamtaka mtu kama nani... Ni shiiiida au.. siwaelewi. Mnaonekana kama political bongo movie. Mazoezi muhimu, understand the scene and play, mjitahidi mvae uhalisia then play men....
Vyama vya upinzani vimejaa ubinafsi..Chama kama Chadema sio cha Watanzania. Ni cha Mtei .
"Ukawa ni sawa na Boko Haram" Hamad Rashid
"Ukawa ni wasaka tonge" Zitto Kabwe
Njaa mbaya sana. UKAWA ni sheeedaaaa!
Vyama vya upinzani vimejaa ubinafsi..Chama kama Chadema sio cha Watanzania. Ni cha Mtei .