BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,704
- 6,501
Nakumbuka mwanzo wa utawala wake Magu alitishiaga kufuta hiki kinacho itwa Chipukizu ili watoto wajikite kwenye kusoma waje walisaidie Taifa.Sijui kwanini alighaili ila alikuwa sahihi kabisa.
Hawa Chupukizi ndio kiwanda cha kuzalisha Chawa, vijana wa kujikomba komba kwa watawala, hawa watakuwa wakitegemea vyeo, hakuna tena kutumia akili, hapa ni kusubilia vyeo. ya kuja kupewa baadae huko,inaumiza sana badala ya kutengeneza kizazi cha kuja kulipigania Taifa tunatengeneza kizazi cha kujikomba komba na huu ujinga uko Tanzania pekee yake.
Hakuna Taifa utakuta wanahangaika na huu ujinga wa kuanza ku inject uchawa ndani ya watoto wadogo, watoto sasa wanaacha ku kuncetrate na elimu wanaanza kuwaza kujikomba.Hata nchi zenye mfumo wa kikomonist kama China hawana huu ujinga, China wanaandaa watoto wao waje kulipigania Taifa kwenye nyanja za sayansi.
CCM inapenda kuona kunaendelea kuwepo vizazi vya wapumbavu wasio hoji chochote wanao waza matumbo na kujipendekeza kwa wanasiasa.
Hawa Chupukizi ndio kiwanda cha kuzalisha Chawa, vijana wa kujikomba komba kwa watawala, hawa watakuwa wakitegemea vyeo, hakuna tena kutumia akili, hapa ni kusubilia vyeo. ya kuja kupewa baadae huko,inaumiza sana badala ya kutengeneza kizazi cha kuja kulipigania Taifa tunatengeneza kizazi cha kujikomba komba na huu ujinga uko Tanzania pekee yake.
Hakuna Taifa utakuta wanahangaika na huu ujinga wa kuanza ku inject uchawa ndani ya watoto wadogo, watoto sasa wanaacha ku kuncetrate na elimu wanaanza kuwaza kujikomba.Hata nchi zenye mfumo wa kikomonist kama China hawana huu ujinga, China wanaandaa watoto wao waje kulipigania Taifa kwenye nyanja za sayansi.
CCM inapenda kuona kunaendelea kuwepo vizazi vya wapumbavu wasio hoji chochote wanao waza matumbo na kujipendekeza kwa wanasiasa.