Ni Aibu Vijana Kuishabikia CCM

Ni Aibu Vijana Kuishabikia CCM

mkuu vijana walioko ccm ndo kama akina Sitti Mtemvu (mshindi wa tuzo ya bibi bomba) na akina le mutuz (le mbululaz) tangu mwaka 1969 yupo UVCCM nafkiri miaka yake inahesabiwa kwa kurudi nyuma

Hivi miss mwenyewe ndio huyu? Anafanana na Hot Lady
 

Attachments

  • 1414088931149.jpg
    1414088931149.jpg
    100.7 KB · Views: 334
Last edited by a moderator:
Ni aibu kwako kutaka vijana wafuate yale uyapendayo....mapenzi yao yametimia kwa CCM nawe mapenzi yako yametimia kwa CDM waache wastarehe...shika lako na wao washike lao...usiwe msemaji wao...na wala hukuingizwa mtegoni bali uliingia kwa ridhaa yako na ukatoka kwa ridhaa yako..Ni aibu kubwa kwako kukishabikia CDM kwani kinalenga kuvuruga amani
Fahari ya Kijana ni Nguvu zake mwenyewe (Mithali 20:29A)

Nimehuzunika sana na yale niliyoyashuhudia Juzi weekend kupitia Kituo Cha TBC ambacho kilirusha tukio la watu waliojiita Vijana wa CCM wa Vyuo Vikuu. Nieleze mapema kuwa hata mimi niliwahi kunasa kwenye mtego huo na tukaishabikia sana CCM kwa kupitia tawi la Abijani( kamwe sijui hata ofisi zao zilipo)

Lakini, enzi zile information ilikua so limited, vijana wa sasa wana kila information kila dakika na kila mahali, wanajua yanayoendelea nchini, wanaujua ukweli wa serikali hii kuwa si sahihi hata kidogo yale yanayotokea. Inflation inaongezeka kila uchao, ubabe wa kitoto wenye kuangamiza kizazi chetu unaongezeka kila uchao.

Tunategemea kuwa Vijana ambao wana nguvu, ambao wanaujua ukweli wa familia zao zinavyoteswa na serikali, waliosoma kwa shida sana, walikosa hadi mkopo na baadhi yao wakapata eti mkopo wa asilimi tano (5%) tulidhani wangesimama na kukataa uonevu huu kwa vitendo lakini matokeo yao vijana hawa wamekua mstari wa mbele kushabikia mambo haya.

Chagueni lililojema Mkaishi

Nawakumbusha Vijana mna safari ndefu, msikubali kupoteza nafasi hii ya kuibadilisha nchi yenu kwa faida ya watoto wenu na watoto wa watoto wenu.
 
Ni aibu kwako kutaka vijana wafuate yale uyapendayo....mapenzi yao yametimia kwa CCM nawe mapenzi yako yametimia kwa CDM waache wastarehe...shika lako na wao washike lao...usiwe msemaji wao...na wala hukuingizwa mtegoni bali uliingia kwa ridhaa yako na ukatoka kwa ridhaa yako..Ni aibu kubwa kwako kukishabikia CDM kwani kinalenga kuvuruga amani

Ujifunze kusoma hadi mwisho. Usiwe mropokaji. Nitajie mahali niliposema nawataka waende Chadema? I hate vijana wa style yako na ndio maana uko ccm
 
Uzi wako mwepesi sana,kwani ww kwa akili yake unadhani mtoto wa MBOWE au
SLAA wataiponda CHADEMA?
Kwa upande Huo pia utapata majibu hivi karibuni watoto wa Wasira wapo CHADEMA au hao sio watoto wa wenye nafasi?
JIPANGE NDIO UTOE HOJA na SIYO KUkURUPUKA.
 
Kama hakutakuwa na faida kwa chadema kupewa madaraka ila na wao watataka kula kwa miaka 50 ijayo kwa maana hiyo ni bora ccm waendelee kula na kujitaid kutafuta kiongoz bora mpaka hapo chama chenye uwezo wa kuleta mapinduz ya kwel kitakapojitokeza
 
Kwani neno MASLAHI tafsiri yake nini?Isije ikawa unafikiri maslahi ni hela,...Mbowe,Mnyika,Slaa na wengineo mko chadema kwa sababu mna maslahi na chadema,imani tu katika sera za chadema (au imani katika maandamano na uzinzi)pia ni maslahi tosha
 
Unapokuwa na mawazo au fikra kama hizi lazima tuu, utakuwa maskini wa akili!!!
 
Yaap! Umenena ukweli lakini kwahali ipofikia mimi siamini chama chochote kwani hata viongozi waupinzani tunao waamini wana nunuliwa na ccm pesa noma Axe!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kijana fanya mambo yako mwisho wa siku mchague kiongoz mwenye sera za ukwel na mashiko. Ushabiki ni upotezaj muda na chama kitakupeleka wap ila ukipewa mkwanja pokea mwisho wa siku kura ni sir yako

hadi leo unazijua sera ngapi za ukweli? Na je hizo sera hujulikana kabla au baada?? Nadhan ni vema kuchagua kiongozi muwajibikaji ,na muwajibishaji, habari za sera achana nazo zilikuwepo tangu enzi za nyerere na hazifikiwi hitimisho Hadi leo.
 
Yaap! Umenena ukweli lakini kwahali ipofikia mimi siamini chama chochote kwani hata viongozi waupinzani tunao waamini wana nunuliwa na ccm pesa noma Axe!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

usaliti huwa upo tu ili kurudisha nyuma jitihada hitajiwa. Na huwezi kulipinga hilo hasa mkisha kuwa zaidi ya mmoja,maana hatufanani mawazo tabia na mengineyo.usiogope kusimama katika maamuzi yako kwa kuogopa wasaliti,hao walisha kuwepo hata katika maandiko matakatifu,tumia nafasi ulio nayo kusaidia lile unalo ona haliendi sawa ,waswahili wanasema pamoja na mwendo wa konokono lakini hufika anakohitaji kufika.
 
Unapokuwa na mawazo au fikra kama hizi lazima tuu, utakuwa maskini wa akili!!!

mara zote mawazo yenye manufaa chanya kwa taifa, huwa ni batili kwa ccm na mafuasi wao kama ulivyo wewe na wenzio.
 
halafu pengine siyo mkewe ni kamchepuko tu

mara zote kichwa chenye busara huwa na hakika ya kile kitokacho kinywani lakini kichwa cha mpu.mbavu hubuni vitu ili kuifurahisha nafsi ya bwana wake. Kifupi huyo ni mkewe anaitwa lilian mbowe na hao nyuma ni watotot zake na hiyo ilikuwa ni home event.
Usiungane na wapumbavu kujadili yasiyo na faida kwako na kwa taifa bali ungana na wenye hekima wanao tumia mda wao mwingi kutafakari namna ya kuokoa taifa linalo angamia.
 
Kwani neno MASLAHI tafsiri yake nini?Isije ikawa unafikiri maslahi ni hela,...Mbowe,Mnyika,Slaa na wengineo mko chadema kwa sababu mna maslahi na chadema,imani tu katika sera za chadema (au imani katika maandamano na uzinzi)pia ni maslahi tosha

uzinzi ulianza kabla hata baba yako hajazaliwa, na hiyo haimaanishi kuwa hata baba na mama yako nao ni wazinzi, ukiijua kweli itakuweka huru kweli, pole kwa kupenda kutumia maneno ya watu wenye nafasi ndogo ya mawazo kuweza kuchanganua mambo ,hiyo ni dalili ya mtu tegemezi, maana hadi umri huo hujui tafsiri sisis ya uzinzi, na huenda ukiijua unaweza kukuta baba na mama yako pamoja na wewe wote ni wazinzi. Tafakari chukua hatua! Tumia upeo wako kufikiri na sio kuishi kwa mawazo ya wajinga na wewe ukayatumia kama kinga yako.
 
Kama hakutakuwa na faida kwa chadema kupewa madaraka ila na wao watataka kula kwa miaka 50 ijayo kwa maana hiyo ni bora ccm waendelee kula na kujitaid kutafuta kiongoz bora mpaka hapo chama chenye uwezo wa kuleta mapinduz ya kwel kitakapojitokeza

mtu mweusi alinyimwa busara, alinyimwa hekima, alinyimwa upeo,alinyimwa fikra huru, alinyimwa kujiamini,alinyimwa ujuzi na ufahamu,
lakini huwa naamini hayo huwa ni maneno tu ya kumkandamiza mtu mweusi, lakini sasa naelekea kuamin kuwa huenda ni kweli mtu mweusi alinyimwa hayo yote, na wewe unataka kudhihirishwa hilo.
Nafikri ni busara kuweka dawa kwenye ili kuua wadudu wanao bungua nafaka kuliko kuwaacha wendelee kubungua eti kwa sababu tu wapo ndani ya ghala kwa muda mrefu. Haya ni mawazo ya mtu alie kufa ki fikra na hatarajii kufufuka tena!
 
Ni aibu kwako kutaka vijana wafuate yale uyapendayo....mapenzi yao yametimia kwa CCM nawe mapenzi yako yametimia kwa CDM waache wastarehe...shika lako na wao washike lao...usiwe msemaji wao...na wala hukuingizwa mtegoni bali uliingia kwa ridhaa yako na ukatoka kwa ridhaa yako..Ni aibu kubwa kwako kukishabikia CDM kwani kinalenga kuvuruga amani

ukiona kijana amamawazo ya kustarehe ndani ya chama ,hakika huo ni uzao utokanao na watu wavivu,na sidhani kama uzao wa wavivu zaid ya uzao wa ccm .na kutokana na hilo ndio maana hata mazao yao nayo huwa na mawazo ya kivivu na ya kizamani kama wewe, ni wapi chadema ilianzaisha ilivunja amani ya nchi?? Au neno amani kwako lina tafsiri ipi? Hata muongozaji wa pumba yeye huona amani kumtandika punda lakini sidhani kama kwa punda huwa ni amani,, na siku ikitokea punda akagoma kwenda baada ya uchovu ni lazima muongozaji atamuona punda huyo ni mkorofi.
Mawazo kama yako ni mawazo ya mtu mbinafsi na muongo asiye kuwa na uwezo wa kufikiri mambo kwa mapana. Toa walau mfano mmoja tu ni lini chadema wahatarisha amani ya nchi.toa mmoja tu. Pengine huo utanifanya niamini kuwa unaishi kwa mawazo yako na sio ya wajinga fulani.
 
Mara nyingine huwa najiuliza vijana waliopo CCM wana tofauti kubwa sana na wale waliopo CHADEMA.

Vijana wengi waliopo CCM ni wale wenye uwezo wa kifedha au wametoka katika familia za wazazi wenye uwezo.

Wakati waliopo chadema ni vijana wa kawaida sana wanaotoka katika familia za chini na za kawaida mno.

Unaweza kukuta kijana anang'ang'ana kuitetea CCM mpaka meno yanamtoka jasho ukifuatilia historia ya kijana utakuta ndugu yake ni mkuu wa wilaya au waziri au mkuu wa mkoa au ni kiongozi ktk chama hivyo ni sehemu ya walewale wanaolalamikiwa kujilimbikizia mali.

Unategemea mtoto wa sita , membe kinana aiponde ccm haiwezekani.

Ukiwauliza vijana wengi waliopo chadema kwa nini wapo chadema watakuambia sababu kuu ni kwamba mwanzoni waliamini CCM hawaibi rasilimali za umma na sasa wameamini kwamba CCM wanawaibia mali zao hivyo ni afadhali sasa wawape chadema na wao wale kwani CCM wamekula miaka 50. Wanadai japokuwa hawatafaidika na chadema kuwepo madarakani si mbaya kwani hata uwepo wa ccm madarakani hawafaidiki pia.

Kwa hiyo ule msemo anaopenda kuutumia mbunge wa Arusha mjini kwamba mwana ccm huwezi kuwa wewe , huwezi kujiita wewe mwanaccm halafu unatembea bila ndala, huwezi kuwa sehem halafu unatembea kwa miguu, na mwisho huwa anamalizia kwa kusema ccm ina wenyewe , wanatembelea mashangingi na sio wewe unaeganga njaa uraiani.
Na chadema ina wenyewe na wenyewe ni WALE WANAORUKA NA HELIKOPTA. sio nyie mnaoandamanishwa. After all,, ccm haiwezi kushabikiwa na vijana wavuta bangi na wanywa gongo. Hao utawakuta BAVICHAAAAAA
 
Back
Top Bottom