Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,367
- 100,408
- Thread starter
- #101
ukiona kijana amamawazo ya kustarehe ndani ya chama ,hakika huo ni uzao utokanao na watu wavivu,na sidhani kama uzao wa wavivu zaid ya uzao wa ccm .na kutokana na hilo ndio maana hata mazao yao nayo huwa na mawazo ya kivivu na ya kizamani kama wewe, ni wapi chadema ilianzaisha ilivunja amani ya nchi?? Au neno amani kwako lina tafsiri ipi? Hata muongozaji wa pumba yeye huona amani kumtandika punda lakini sidhani kama kwa punda huwa ni amani,, na siku ikitokea punda akagoma kwenda baada ya uchovu ni lazima muongozaji atamuona punda huyo ni mkorofi.
Mawazo kama yako ni mawazo ya mtu mbinafsi na muongo asiye kuwa na uwezo wa kufikiri mambo kwa mapana. Toa walau mfano mmoja tu ni lini chadema wahatarisha amani ya nchi.toa mmoja tu. Pengine huo utanifanya niamini kuwa unaishi kwa mawazo yako na sio ya wajinga fulani.
Dah, Asante sana, kwa hakika umewamaliza kabisaaaa