CCM Chipukizi ni donda ndugu litakalokipeleka chama kaburini

mfanyakazfake

Member
Feb 14, 2023
17
34
Ccmchipukizi maana yake nii?

Wana faida gani kwa chama?

Kwanini wawe watoto wengi wa viongozi na watu mashuhuri ndani na nje ya chama na sio mtoto wa mkulima na mfugaji?

Je, mtoto wa mkulima na mfugaji huko Nanjilinji, kantalamba, ng'alita, kishumundu, Gamboshi, nshamba na huko kwingineko ambako watoto wa wakulima na wafugaji wanapatikana ambao pengine wana uwezo mkubwa wa kiuongozi kuliko hata hawa tulionao, je mchakato uliwafikia hawa watoto kweli?

Je, mchakato wa ccm chipukizi una mazingira sawa au ndo mwenye kamba ndefu ndo atakula pakubwa zaidi?

Kama ndo tunaenda kwa kufahamiana, je ccm na nchi ya Tanzania ndio kusema inaenda kuwa mali ya watu au familia chache miaka michache ijayo?

Naona baada ya mchakato vijembe na majigambo kutoka kwa wazazi wa watoto waliochaguliwa vinatamalaki ndo kusema kulikua na vita kubwa sana kwenye mchakato mzima au ndo wanajaribu kutuambia nini hao viongozi wetu?

Je, CCM na serikali yake mko tayari kuwaona chadema na vyama vingine wakianzisha hizo chipukizi? Na kama mko tayari ruhusuni muone halafu baada ya miaka 5 mfanye tathmini kama bado mtakua na chama au gari bovu ambalo kila mtu hatamani kulipanda tena, watoto smart wanatoka familia duni ambazo ccm haikuona umuhimu wao, huko ndo chadema na ACT wazalendo watabeba vijana wao na sio hao wa kwenu watoto wa akina fulani?

Jifunzeni kipindi cha JPM alikiondoa chama kutoka kua chama cha familia fulani na kuwa chama cha watanzania wote na ndo ulikua mwanzo wa ccm kupendwa tena na watz, lakini kwa hiki mnachokifanya sasa hivi jiandaeni kisaikolojia hakina hatima nzuri kwa chama cha mapinduzi, kuna watu wenye nia ovu na mnawaruhusu agena zao kupenya ndani ya chama, chama kitakosa utulivu, chama kitagawanyika na chama kitakosa ushawishi kwa wananchi tena na ndo utakuwa mwanzo wa upande wa pili kupata nguvu kubwa zaidi na kujenga ushawishi tena kwani mnawatengenezea ajenda za kuwasema kwenye majukwaa yao.

Kupitia mchakato wa CCM chipukizi, chama cha mapinduzi mnajichimbia kaburi kwani mchakato umepandikiza chuki na makundi ndani ya chama na kwa wananchiwaliokua wamejenga imani kubwa kwenu na msipochukua tahadhari hili jambo litajibiwa 2024 na 2025 tujipe muda kwani muda ni mwalimu mzuri sana.
 
Ccmchipukizi maana yake nii?

Wana faida gani kwa chama?

Kwanini wawe watoto wengi wa viongozi na watu mashuhuri ndani na nje ya chama na sio mtoto wa mkulima na mfugaji?

Je mtoto wa mkulima na mfugaji huko Nanjilinji, kantalamba, ng'alita, kishumundu, Gamboshi, nshamba na huko kwingineko ambako watoto wa wakulima na wafugaji wanapatikana ambao pengine wana uwezo mkubwa wa kiuongozi kuliko hata hawa tulionao, je mchakato uliwafikia hawa watoto kweli?

Je mchakato wa ccm chipukizi una mazingira sawa au ndo mwenye kamba ndefu ndo atakula pakubwa zaidi?

Kama ndo tunaenda kwa kufahamiana, je ccm na nchi ya Tanzania ndio kusema inaenda kuwa mali ya watu au familia chache miaka michache ijayo?

Naona baada ya mchakato vijembe na majigambo kutoka kwa wazazi wa watoto waliochaguliwa vinatamalaki ndo kusema kulikua na vita kubwa sana kwenye mchakato mzima au ndo wanajaribu kutuambia nini hao viongozi wetu?

Je ccm na serikali yake mko tayari kuwaona chadema na vyama vingine wakianzisha hizo chipukizi? Na kama mko tayari ruhusuni muone halafu baada ya miaka 5 mfanye tathmini kama bado mtakua na chama au gari bovu ambalo kila mtu hatamani kulipanda tena, watoto smart wanatoka familia duni ambazo ccm haikuona umuhimu wao, huko ndo chadema na ACT wazalendo watabeba vijana wao na sio hao wa kwenu watoto wa akina fulani?


Jifunzeni kipindi cha JPM alikiondoa chama kutoka kua chama cha familia fulani na kuwa chama cha watanzania wote na ndo ulikua mwanzo wa ccm kupendwa tena na watz, lakini kwa hiki mnachokifanya sasa hivi jiandaeni kisaikolojia hakina hatima nzuri kwa chama cha mapinduzi, kuna watu wenye nia ovu na mnawaruhusu agena zao kupenya ndani ya chama, chama kitakosa utulivu, chama kitagawanyika na chama kitakosa ushawishi kwa wananchi tena na ndo utakuwa mwanzo wa upande wa pili kupata nguvu kubwa zaidi na kujenga ushawishi tena kwani mnawatengenezea ajenda za kuwasema kwenye majukwaa yao.

Kupitia mchakato wa CCM chipukizi, chama cha mapinduzi mnajichimbia kaburi kwani mchakato umepandikiza chuki na makundi ndani ya chama na kwa wananchiwaliokua wamejenga imani kubwa kwenu na msipochukua tahadhari hili jambo litajibiwa 2024 na 2025 tujipe muda kwani muda ni mwalimu mzuri sana.
Viongozi wanaandaliwa.Punguza wivu andaa watoto wako kuwa viongozi
 
Watoto wale wanaifaidisha nini CCM ?.

Watoto wanachaguliwa kwakua BABA KANIAMBIA .


Nao watakua humohumo Ndani ya CCM, yeaah kwakua watakua Vilaza wa Akili, Wazazi wao watakua wanajitahidi kuhonga honga mashule na vyuo kama ilivyo Kwa Nape, hatimaye wanaonekana Wana Elimu, yeaah watakua na Elimu ila Akili hawatakua nayo.


Mwisho wa siku, Wanaotuongoza 🤣🤣🤣
 
Pengine tuseme ni Siasa za CCM tuwaachie wenyewe .

Je taasisi yetu ya Usalama imejipangaje kulikabili hili??. ... Au nao ni Vilaza waloamua kulichukulia poaaa poaa tu suala hili.?.



JAMBO LOLOTE AU MTU YOYOTE ALOLIKATAA/ALOKATALIWA NA MAGUFULI, WEE JUA HALIFAI
 
Pengine tuseme ni Siasa za CCM tuwaachie wenyewe .

Je taasisi yetu ya Usalama imejipangaje kulikabili hili??. ... Au nao ni Vilaza waloamua kulichukulia poaaa poaa tu suala hili.?.



JAMBO LOLOTE AU MTU YOYOTE ALOLIKATAA/ALOKATALIWA NA MAGUFULI, WEE JUA HALIFAI

taasisi ipi ya usalama unayoizungumzia.
 
Ccmchipukizi maana yake nii?

Wana faida gani kwa chama?

Kwanini wawe watoto wengi wa viongozi na watu mashuhuri ndani na nje ya chama na sio mtoto wa mkulima na mfugaji?

Je mtoto wa mkulima na mfugaji huko Nanjilinji, kantalamba, ng'alita, kishumundu, Gamboshi, nshamba na huko kwingineko ambako watoto wa wakulima na wafugaji wanapatikana ambao pengine wana uwezo mkubwa wa kiuongozi kuliko hata hawa tulionao, je mchakato uliwafikia hawa watoto kweli?

Je mchakato wa ccm chipukizi una mazingira sawa au ndo mwenye kamba ndefu ndo atakula pakubwa zaidi?

Kama ndo tunaenda kwa kufahamiana, je ccm na nchi ya Tanzania ndio kusema inaenda kuwa mali ya watu au familia chache miaka michache ijayo?

Naona baada ya mchakato vijembe na majigambo kutoka kwa wazazi wa watoto waliochaguliwa vinatamalaki ndo kusema kulikua na vita kubwa sana kwenye mchakato mzima au ndo wanajaribu kutuambia nini hao viongozi wetu?

Je ccm na serikali yake mko tayari kuwaona chadema na vyama vingine wakianzisha hizo chipukizi? Na kama mko tayari ruhusuni muone halafu baada ya miaka 5 mfanye tathmini kama bado mtakua na chama au gari bovu ambalo kila mtu hatamani kulipanda tena, watoto smart wanatoka familia duni ambazo ccm haikuona umuhimu wao, huko ndo chadema na ACT wazalendo watabeba vijana wao na sio hao wa kwenu watoto wa akina fulani?


Jifunzeni kipindi cha JPM alikiondoa chama kutoka kua chama cha familia fulani na kuwa chama cha watanzania wote na ndo ulikua mwanzo wa ccm kupendwa tena na watz, lakini kwa hiki mnachokifanya sasa hivi jiandaeni kisaikolojia hakina hatima nzuri kwa chama cha mapinduzi, kuna watu wenye nia ovu na mnawaruhusu agena zao kupenya ndani ya chama, chama kitakosa utulivu, chama kitagawanyika na chama kitakosa ushawishi kwa wananchi tena na ndo utakuwa mwanzo wa upande wa pili kupata nguvu kubwa zaidi na kujenga ushawishi tena kwani mnawatengenezea ajenda za kuwasema kwenye majukwaa yao.

Kupitia mchakato wa CCM chipukizi, chama cha mapinduzi mnajichimbia kaburi kwani mchakato umepandikiza chuki na makundi ndani ya chama na kwa wananchiwaliokua wamejenga imani kubwa kwenu na msipochukua tahadhari hili jambo litajibiwa 2024 na 2025 tujipe muda kwani muda ni mwalimu mzuri sana.
Si jambo geni mkuu sema ni uhuru kila mmoja kutoa maoni yake!
 
Watoto wale wanaifaidisha nini CCM ?.

Watoto wanachaguliwa kwakua BABA KANIAMBIA .


Nao watakua humohumo Ndani ya CCM, yeaah kwakua watakua Vilaza wa Akili, Wazazi wao watakua wanajitahidi kuhonga honga mashule na vyuo kama ilivyo Kwa Nape, hatimaye wanaonekana Wana Elimu, yeaah watakua na Elimu ila Akili hawatakua nayo.


Mwisho wa siku, Wanaotuongoza 🤣🤣🤣
Ajira ngumu cku Hz,na utajiri WA fasta uko kwenye siasa.ndo maana azimio la Arusha lilitupiliwa kusikojulikana.
 
Kuna yule dogo bonge na mtoto wa mwigulu hapo tumepigwa na msumari kwenye kidonda.
 
Ccmchipukizi maana yake nii?

Wana faida gani kwa chama?

Kwanini wawe watoto wengi wa viongozi na watu mashuhuri ndani na nje ya chama na sio mtoto wa mkulima na mfugaji?

Je, mtoto wa mkulima na mfugaji huko Nanjilinji, kantalamba, ng'alita, kishumundu, Gamboshi, nshamba na huko kwingineko ambako watoto wa wakulima na wafugaji wanapatikana ambao pengine wana uwezo mkubwa wa kiuongozi kuliko hata hawa tulionao, je mchakato uliwafikia hawa watoto kweli?

Je, mchakato wa ccm chipukizi una mazingira sawa au ndo mwenye kamba ndefu ndo atakula pakubwa zaidi?

Kama ndo tunaenda kwa kufahamiana, je ccm na nchi ya Tanzania ndio kusema inaenda kuwa mali ya watu au familia chache miaka michache ijayo?

Naona baada ya mchakato vijembe na majigambo kutoka kwa wazazi wa watoto waliochaguliwa vinatamalaki ndo kusema kulikua na vita kubwa sana kwenye mchakato mzima au ndo wanajaribu kutuambia nini hao viongozi wetu?

Je, CCM na serikali yake mko tayari kuwaona chadema na vyama vingine wakianzisha hizo chipukizi? Na kama mko tayari ruhusuni muone halafu baada ya miaka 5 mfanye tathmini kama bado mtakua na chama au gari bovu ambalo kila mtu hatamani kulipanda tena, watoto smart wanatoka familia duni ambazo ccm haikuona umuhimu wao, huko ndo chadema na ACT wazalendo watabeba vijana wao na sio hao wa kwenu watoto wa akina fulani?

Jifunzeni kipindi cha JPM alikiondoa chama kutoka kua chama cha familia fulani na kuwa chama cha watanzania wote na ndo ulikua mwanzo wa ccm kupendwa tena na watz, lakini kwa hiki mnachokifanya sasa hivi jiandaeni kisaikolojia hakina hatima nzuri kwa chama cha mapinduzi, kuna watu wenye nia ovu na mnawaruhusu agena zao kupenya ndani ya chama, chama kitakosa utulivu, chama kitagawanyika na chama kitakosa ushawishi kwa wananchi tena na ndo utakuwa mwanzo wa upande wa pili kupata nguvu kubwa zaidi na kujenga ushawishi tena kwani mnawatengenezea ajenda za kuwasema kwenye majukwaa yao.

Kupitia mchakato wa CCM chipukizi, chama cha mapinduzi mnajichimbia kaburi kwani mchakato umepandikiza chuki na makundi ndani ya chama na kwa wananchiwaliokua wamejenga imani kubwa kwenu na msipochukua tahadhari hili jambo litajibiwa 2024 na 2025 tujipe muda kwani muda ni mwalimu mzuri sana.
Akili kisoda!, unaendeshwa na nguvu ya mitandao!
Chipukizi wamekuwepo CCM miaka dahari leo ndo unashtuka kisa mitandao imekusisimua kwenye hilo!

Nani ndani ya CCM amezuia mtoto wako au wa Mkulima yeyote kugombea nafasi hizo za Chipukizi?

Mwanamuziki Sheta ambaye mtoto wake amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa ni tajiri au kigogo ndani ya CCM?!

Tambua kuwa wakati wewe umeamua kutumia muda wako wote kushangilia na kufuatilia mpira wa Simba na Yanga na kuacha kuwaandaa na kuwatafutia Watoto wako fursa basi wenzako pia wana vipaumbele vyao!

Usipoacha tabia ya kulaumu ,kulalamika na kuchukua hatua muhimu basi watoto wako hawatakuwa na tofauti na wewe, kama ambavyo na wewe huna tofauti kubwa na wazazi wako!
 
Ni kweli hili jambo Waliache.

CCM itafikia mahali itaonekana chama cha watu fulani.

Kwakua hao ni wachache.

Wale wa hali ya chini ambao ni wengi watajitenga nacho.

Na wakipata tu mtu wa kueleweka CCM itabakia historia.


Unless wanataka kuendelea kubakia, wafute kabisa huu ujinga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom