Ulipongexzwa na watumiaji wa barabara hasa wa magari kupunguza vizuizi vya traffic police barabarani kwa vile ilikuwa ni kero na fursa za rushwa kila kituo walipo traffic. That was a good move.
Ulisema wawepo lakini si kila baada ya mita chache kama ilivyokuwa na ilivyo sasa.
Mzee zuio hilo liliishia wapi?
Ulisema wawepo lakini si kila baada ya mita chache kama ilivyokuwa na ilivyo sasa.
Mzee zuio hilo liliishia wapi?