Nguo ya Naibu Spika si njema hadharani

Nguo ya Naibu Spika si njema hadharani

Status
Not open for further replies.
Cleavage ni neno la Kiingereza lenye maana ya mpasuko (kama ilivyo katikati ya makalio, kumradhi...). Siyo kila mwanamke ana cleavage. Siioni hapo kwa Tulia. Hata kama unataka kuonyesha, kwa nini uonyeshe kitu ambacho hauna? Au hata kama unayo, kwa nini uionyeshe?
Siyo uchi. Panaitwa cleavages
 
Jamani Kila Mtu Anapenda Personality Yake Aonekane Vipi Mbele Za Watu No Matter ana wadhifa gani katika jamii katika mitindo ya mavazi. Wapo wanaopenda sehemu fulani za miili yao ionekane kidogo au zaidi, wapo wasiopenda hata sura zao zionekane. Ila mavazi humjenga mtu au kumbomoa kulingana na hadhi yake, mahali alipo na wakati wake kwa mujibu wa mila, desturi, utamaduni na dini.
You are right.
 
Ni mwanjomwanjo asiyejuwa hata dress codes za wadhifa alionao wala occasion ya nguo ipi kuvaliwa wapi.

Tanzania tuna Safari ndefu sana ya kwenda.
Ukweli Mchungu Unaosema
Yaani Nyadhifa Yake Tu Tayari Inamuelekeza Jambo Gani Afanye Wapi
Siyo Anaweza Kufanya Lolote Popote
 
Tulia akipita humu ndani aone alivyonangwa hiyo nguo anaichoma moto!
 
Mbona ni mlibwende anasisimua madhee acheni zenu....mm nimesisimkwa kweli sasa hv naangaika natafuta pa kuchomeka kirungu changu nitulie....huyu ni type za kina Miriam Odemba ...mnamchukia kwa sababu ya siasa....hakuna kingine
 
Ni mwanjomwanjo asiyejuwa hata dress codes za wadhifa alionao wala occasion ya nguo ipi kuvaliwa wapi.

Tanzania tuna Safari ndefu sana ya kwenda.
Achana na mavazi...kichwa chake kimejaa Ilimu mama.....alafu ume challenge kwa sababu huyu sio Mwajuma hakuna kingine!
 
Hahaha, we mtoto unataka kunisindikiza leo? Ningefurahi hadi niumwe ujuwe[emoji23][emoji23]
Hahaha hahaha hahaha
Nakupeleka mpaka mlangoni! Sabato na iheshimiwe
 
Haha, halafu tukitoka kanisani tukale kande na "kupumzika"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji123]
Ewaaaaa...
Tukule tushibe kabisaaa jamanii, ila mimi sijawahi shiba kande kabisaaa
 
Ewaaaaa...
Tukule tushibe kabisaaa jamanii, ila mimi sijawahi shiba kande kabisaaa
Hahahaha..
Utajifunza kushiba, ubahili hapa ndo kwake[emoji125][emoji125][emoji125][emoji123]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom