NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,958
- 2,966
Mitindo mingine ya kitotooo mmmh! Ukiona hivyo ujue NZURI PESA SINA MSHAURI
Utatamani vingapi mkuu,hivi katika dunia ya leo waliovaa kistaarabu na waliovaa nusu uchi wepi ni wengi?ukiwafuatilia sana unaweza pata kichaa ndugu,follow your business,huku mijini sie tumeshazoea hata hatuwashangai tena...Natazama Live hotuba ya Comrade JPM Mbeya. Lakini nguo aliyovaa naibu spika Dk. Tulia Ackson inamuweka wazi eneo lote la kifua. Hili eneo la kifua ni eneo tazamwa sana maana huvuta hisia za jinsia tofauti.
Natamani angeshauriwa kuvaa isiyoacha wazi kifua. Naona aibu mimi huku sebuleni kwangu
Hiyo ni shumizi imekatika ikapanda mpaka kifuani.I like small boobs lakini hapo sijapaelewa kabisa hiyo nguo nyeupe ilivyoonekana imezidi kuharibu.
hahaha jamaniHiyo ni shumizi imekatika ikapanda mpaka kifuani.
Tupe cha kujadili, sio nguo ya mtu, ametoa takwimu gani?Hivi mkuu Takwimu alizokuwa anazitoa RC Charamila Mmhh ziko sahihi kweli nimejikuta nikiguna pekeyangu
Nilijua hivyo pia woiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha hahaha
Mie nilijua maziwa yapo nje, kumbe ni mifupa ya kifua ndo uchi!
Woooiii....Nilijua hivyo pia woiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu walivyoshadadia sasa hata hapa sisimui[emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Wamenishinda kwa kweli lolWoooiii....
Watu wa jf utawaweza sasa?!
Kabudi anatia huruma!!!Hiki hapa.View attachment 1081750