ishengoma kamuhanda
Senior Member
- Oct 2, 2016
- 136
- 117
Kumbe wengi mja Tulia
Nimecheka sanaKwanza bibi titi lenyewe hamza kalala
Kumbe upo we mama, habari za mafinga?Wanyakyusa bana.
Mtarajiwa
Sasa kwanini amekaa hapo mbele?
Kimsingi hapo alipokaa alistahili kukaa Mbunge wa eneo husika.
Ilitakiwa avae dira [emoji6]Natazama Live hotuba ya Comrade JPM Mbeya. Lakini nguo aliyovaa naibu spika Dk. Tulia Ackson inamuweka wazi eneo lote la kifua. Hili eneo la kifua ni eneo tazamwa sana maana huvuta hisia za jinsia tofauti.
Natamani angeshauriwa kuvaa isiyoacha wazi kifua. Naona aibu mimi huku sebuleni kwangu
SabatoNyie msemeni tu hapo, kuna mwenzenu/wenzenu wanapiga mabao hapo duble duble na wanavutiwa naye na ashki zinakuja bila kukata...
Tatizo sisi vidume zama hizi bila vumbi la kongo, supu ya pweza ni bure kabisa. Kanakunjika hako na unajilia na mabao ya kukutosha....
Hahaha, we mtoto unataka kunisindikiza leo? Ningefurahi hadi niumwe ujuwe[emoji23][emoji23]Sabato
Hebu tujiandae!
Shemeji yupo?Natazama Live hotuba ya Comrade JPM Mbeya. Lakini nguo aliyovaa naibu spika Dk. Tulia Ackson inamuweka wazi eneo lote la kifua. Hili eneo la kifua ni eneo tazamwa sana maana huvuta hisia za jinsia tofauti.
Natamani angeshauriwa kuvaa isiyoacha wazi kifua. Naona aibu mimi huku sebuleni kwangu
Mwache avae tu, maana ni kama mjomba wangu wa ipinda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Natazama Live hotuba ya Comrade JPM Mbeya. Lakini nguo aliyovaa naibu spika Dk. Tulia Ackson inamuweka wazi eneo lote la kifua. Hili eneo la kifua ni eneo tazamwa sana maana huvuta hisia za jinsia tofauti.
Natamani angeshauriwa kuvaa isiyoacha wazi kifua. Naona aibu mimi huku sebuleni kwangu
Hiki hapa.View attachment 1081750
Shida yako ni nini? Usileta miongozo ya dini hapa kuhusu mavazi... utakuwa wa dini ile ya Sri lanka!
Hakuna cha ajabu hapo. Kuna watu kila wakimwona mwanamke wanafikiria suala moja tu. Au unataka avae kama Suluhu?
Utatamani vingapi mkuu,hivi katika dunia ya leo waliovaa kistaarabu na waliovaa nusu uchi wepi ni wengi?ukiwafuatilia sana unaweza pata kichaa ndugu,follow your business,huku mijini sie tumeshazoea hata hatuwashangai tena...