angekuwa kavaa Matiko au gekuli hv ingekuwa noma sana..sasa huyo sura ya kiume hatamanishiNatazama Live hotuba ya Comrade JPM Mbeya. Lakini nguo aliyovaa naibu spika Dk. Tulia Ackson inamuweka wazi eneo lote la kifua. Hili eneo la kifua ni eneo tazamwa sana maana huvuta hisia za jinsia tofauti.
Natamani angeshauriwa kuvaa isiyoacha wazi kifua. Naona aibu mimi huku sebuleni kwangu
mbona hana maziwa😅Uchi KabisaView attachment 1081765
Kwani Naibu amebust mashauzi?mbona kwakifua chake hakuna chakustua hapoUchi KabisaView attachment 1081765
Kifua kipo wapi?Hiki hapa.View attachment 1081750
Unasemaa ?Bado Msichana
Kifua chenyewe cha kukupa shida kiko wapi sasa[emoji1745]Hiki hapa.View attachment 1081750
Mkuu alikuwa anatoa takwimu za mabilioni katika sektaTupe cha kujadili, sio nguo ya mtu, ametoa takwimu gani?
duuuuh mkuu umenikumbusha mbali sana, ilo neno shumiziHiyo ni shumizi imekatika ikapanda mpaka kifuani.