EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 13,305
- 20,945
Hiyo nguo ina tatizo gani mbona ya kawaida
Natazama Live hotuba ya Comrade JPM Mbeya. Lakini nguo aliyovaa naibu spika Dk. Tulia Ackson inamuweka wazi eneo lote la kifua. Hili eneo la kifua ni eneo tazamwa sana maana huvuta hisia za jinsia tofauti.
Natamani angeshauriwa kuvaa isiyoacha wazi kifua. Naona aibu mimi huku sebuleni kwangu
Mkuu inaonekana wewe hujaelewa maana ya kutembea kifua mbere. Hicho kivazi cha Tulia ndiyo kinawakilisha maana halisi ya "tembeeni vifua mbere"Natazama Live hotuba ya Comrade JPM Mbeya. Lakini nguo aliyovaa naibu spika Dk. Tulia Ackson inamuweka wazi eneo lote la kifua. Hili eneo la kifua ni eneo tazamwa sana maana huvuta hisia za jinsia tofauti.
Natamani angeshauriwa kuvaa isiyoacha wazi kifua. Naona aibu mimi huku sebuleni kwangu
Mbeya kun joto sana.Natazama Live hotuba ya Comrade JPM Mbeya. Lakini nguo aliyovaa naibu spika Dk. Tulia Ackson inamuweka wazi eneo lote la kifua. Hili eneo la kifua ni eneo tazamwa sana maana huvuta hisia za jinsia tofauti.
Natamani angeshauriwa kuvaa isiyoacha wazi kifua. Naona aibu mimi huku sebuleni kwangu
Ni siasa tu hizi ndio maana hadi uzi umeanzishwa! Hamna jingineMbona Mimi sioni tatizo kwenye hiyo nguo
Tulia anamiaka mingapi?
Yeye ndiye anayetambulika na CCM kuwa ndiye mbunge wa Mbeya mjini.
Sasa kwanini amekaa hapo mbele?
Kimsingi hapo alipokaa alistahili kukaa Mbunge wa eneo husika.