GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 4,902
- 6,674
Nilikuwa sijui kama kuna ng'ombe mwenye thamani inayozidi milioni tano.
Lakini hii clip imenifingua macho! Ng'ombe wa maziwa anauzwa Tsh 12,000,000/=
Milioni kumi na mbili si bei ya IST used?
Ufugaji wa ng'ombe wa maziwa unalipa!
Lakini hii clip imenifingua macho! Ng'ombe wa maziwa anauzwa Tsh 12,000,000/=
Milioni kumi na mbili si bei ya IST used?
Ufugaji wa ng'ombe wa maziwa unalipa!