Alale Pema Peponi KamandaMia wakora sana waitu, usengwile sana, wabeja sana mwana wani, ulakoze, sande sana mwana kwetu, nk (Kindly note sitaki maswali kwa hizo lugha, Kongoi (kikalenjini in Kenya), Nasi ama/ako (kiiraqwu) in Mbulu ha ha inawatoshea bana kha??
Oops OohsUnafahamu beki ya Arsenal au ya Liver-fool imesharuhusu magoli mangapi hadi sasa?
Mwanamke wa Kihangaza akikukataa nenda kaoge na maji ya yaliyochanganywa na mkojo wa samaki.
Hawajui kusema hapana!
Source Mzito Kabwela
Alale Pema Peponi KamandaNo research no right to talk. Hiyo conclusion umeifikiaje? Umetembelea wapi hadi ufikie hitimisho hilo? Acheni kuliaibisha jamvi wakuu. Hata kama "JF is where we dare to talk openly" haina maana kuwa anything appealing to your intelligence is right or can be spoken about as being Just!!!
Magodoro Yamelowekwa MajiHali ya hewa inaruhusu, hakuna JOTO Ngara na ipo juu sana kutoka usawa wa Bahari
NgaraWadada wa ngara balaa,
NgaraWadada wa ngara balaa,
😂Ngara ni Tanzania, na wahangaza sio watutsi ingawa wanafanana sana mila zao. KUMBUKA: mipaka iliwekwa na wakoloni, ubaguzi wako ndio umaskini wako.
Tanzania nchi ya amani sababu mojawapo tuna makabila yote ya nchi tunazowapakana nazoWadau,
Tuache masikhara ya kijiografia na tujikite kiuhalisia, wilaya ya NGARA ni Tanzania ama?
Kama ni Tanzania, basi imetelekezwa na warundi/wanyarwanda wamejiotea mizizi na himaya zao,, amini usiamini hakuna tamaduni za kitanzania katika wilaya hiyo, tembelea ujionee
🤣🤣 dagaa sio samaki ila wanafanana. Sema tu ni nyavu zilizotumika kuvua ndio zikatenganisha dagaa na samaki. I like this one!Ngara ni Tanzania, na wahangaza sio watutsi ingawa wanafanana sana mila zao. KUMBUKA: mipaka iliwekwa na wakoloni, ubaguzi wako ndio umaskini wako.