Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,904
- 7,746
kuwa mjinga sio mpaka uandikiwe barua,wewe utanzania wako umekalia sehemu gani?Kama sio watanzania wafukuzwe tu maneno mengi ya nini.Hawa ndo wanatuvurugia nchi
kuwa mjinga sio mpaka uandikiwe barua,wewe utanzania wako umekalia sehemu gani?Kama sio watanzania wafukuzwe tu maneno mengi ya nini.Hawa ndo wanatuvurugia nchi
Wanyarwanda wako Rwanda!
Ni vizuri ukafuatilia mambo yanayokupa faida kuliko kufuatlilia mambo ambayo hayana faida kwakohata wewe ni mtutsi but time will come u will go where u belong.
Kweli akutukanae hakuchagulii tusi ila wewe umechagua mkuu!!laiti ungejua!!Unafahamu beki ya Arsenal au ya Liver-fool imesharuhusu magoli mangapi hadi sasa?
Mwanamke wa Kihangaza akikukataa nenda kaoge na maji ya yaliyochanganywa na mkojo wa samaki.
Hawajui kusema hapana!
Source Mzito Kabwela
raia wa tanzania wanaoishi ngara ni kidogo sana,wengi ni wanyarwanda,waburundi na congo
JK aliwaza na kumpatia Kagame atleast aongeze ukubwa wa kinchi chake...kwahiyo kijiografia Ngara ni tanzania,kiutawala Ngara ni sehemu ya Burundi.
No research no right to talk. Hiyo conclusion umeifikiaje? Umetembelea wapi hadi ufikie hitimisho hilo? Acheni kuliaibisha jamvi wakuu. Hata kama "JF is where we dare to talk openly" haina maana kuwa anything appealing to your intelligence is right or can be spoken about as being Just!!!
Kuna watu wamekalia ku post ujinga ujinga tuu adi wanauzi!
Acha upuuzi, dont be a simple minded person, Hiv unajua maneno kama haya ni hatari sana! yaani wewe leo unataka kutuambia kwamba Wahangaza ndani ya taifa hili ni Wanyarwanda au Warundi? Nina mashaka na uwezo wako japo unajua kuchezea keyboard! Na ukitoka Ngara utakwenda Mwambao mwa ziwa Nyasa utasema Wanyasa sio Watanzania ni wamalawi baadaye utasema wengine, kwa nini sasa tunaongea hivi?
Wadada wa ngara balaa,