Basi kama ingelikuwa sio dermacation za wazungu, Ngara kiuhalisia ingelikwenda Burundi. Full stop!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Na kama ingelikuwa sio demarcation za Wazungu, Burundi kiuhalisia ingekuha Tanganyika. Full stop!!!!!!!!!!!!!!!!
Naona tunahangaika sana na mambo ya karne nyingi zilizopita. Ukichunguza kwa undani, kama isingekuwa mipaka ya Wazungu, makabila haya ya Wahangaza, Waha, Watutsi, Watwa, na Wanyamulenge yalistahili kuwa nchi moja. Hii ni kwa kuwa lugha wanayozungumza, kimsingi ni moja, kinachofanya kuwe na tofauti kidogo ni mipaka ya Kiutawala. Hata tamaduni zao ni zilezile, koo zao [clans] ni zilezile; ukienda katika nchi za Burundi, Rwanda, Tanzania na sehemu za DRC Mashariki utazikuta. Mfano; utakuta clans za Abasindi, Abanyagwanda, Abakimbili nk katika nchi zote hizo.