Unafikiri kwanini tunawashtukia hao wajiitao wahangaza wa Tanzania?tunafahamu wako wahangaza wa nchi hii ila nyuma yao wako hao wanyaru na warundi a.k.a wahangaza?? uliza Kongo walipowakaribisha,wasivyokuwa na aibu hata kidogo walichokifanya utashangaa sana ndg hawa ni hatari sana, kuhusu tabia zao/zenu, ukiangalia kongo historia inajieleza vizuri???(wanyaru na warundi a.k.a wahangaza!!!!!!????)
Sawa unachokisema ila jaribu kuangilia historia ya hizo nchi tulizopakana nazo ndio utajua kwanini hilo kundi la nyakanazi linawatu wengi kuliko kundi la tunduma au kwa kurahisisha kundi la nyakanazi watu wao wengi walihifadhiwa Tanzania kwenye makambi ya wakimbizi sasa sishangai sana hao watu kuwa wengi maeneo hayo huku kwetuNinapoongelea juu ya Ngara sijakurupuka, tembea iwe ni Nyakanazi, Lusahunga, Ngara mjini yenyewe, Rulenge, Rusumo na hata Kabanga sehemu hizo za wilaya hii si sawa na maeneo mengine ya mipakani mwa nchi hii kama ilivyo Tunduma, Namanga, Sirari, Mbamba bay, Mutukula etc
Sasa nipo Ngara, najionea hali ilivyo, kumesheheni wanyarwanda kuliko warundi, vitendo vya kiharamia vimesheheni, huwezi kuendesha gari yako private baada ya saa mbili usiku hata uwepo Ngara mjini, mgeni anajulikana kwa aina ya kiswahili
Ni aghalabu kukuta watu wakiongea kiswahili, hakuna FM radio zaidi ya radio za kinyarwanda tena wakilonga kinyarwanda na ndizo zinazosikika, ipo radio KWIZERA ambayo pia baadhi ya nyakati ilidiriki kutumia kilugha badala ya kiswahili katika utangazaji wake
Ninachoamini, ni eneo ambalo limetelekezwa kiujumla ndio maana hata matukio mengi ya uharamia yamesheheni katika mapori mazito na milima mirefu inayoizunguka wilaya hii ya Ngara
Kwa yeyote, na aitembelee wilaya hiyo ajionee
Kama wewe muhutu kazi kwako ,tuondolee ukabila wako hapa
Wewe mpuu.zi sana. Inaonekana uliugua pepopunda utotoni kwakuwa mzazi wako hakuhudhuria clinic. Huu ulioandika ni uharo jazz band. Usirudie tena kutugawa Watanzania. #@$%^$!@!@$^ ZAKO!
[/QUOT
Nilijua mtakurupuka tu!! hii ndio nidhamu niliyoigusia hapo juu kama ulisoma vizuri,sentensi yako inaichora vizuri nidhamu hiyo kumbuka hatuko Unyaru..... wala urundini.... tuko TZ, karibu tena!!!
Sawa unachokisema ila jaribu kuangilia historia ya hizo nchi tulizopakana nazo ndio utajua kwanini hilo kundi la nyakanazi linawatu wengi kuliko kundi la tunduma au kwa kurahisisha kundi la nyakanazi watu wao wengi walihifadhiwa Tanzania kwenye makambi ya wakimbizi sasa sishangai sana hao watu kuwa wengi maeneo hayo huku kwetu
Wadau,
Tuache masikhara ya kijiografia na tujikite kiuhalisia, wilaya ya NGARA ni Tanzania ama?
Kama ni Tanzania, basi imetelekezwa na warundi/wanyarwanda wamejiotea mizizi na himaya zao,, amini usiamini hakuna tamaduni za kitanzania katika wilaya hiyo, tembelea ujionee
Hii reaction ya watu humu ndani inanipa wasiwasi,kuna uwezekano watu wameguswa maslahi yao kupitia uzi huu!Ukweli ndo huo wanyaru na warundi wanajimegea ardhi kwa wilaya za Biharamulo,Ngara na Karagwe kama hawana akili nzuri.Serikali imelala fofofo!!
teh teh teh teh Umugore wanjye punguza munkariWe Mzito Kabwela acha dharau,kama umekosa la kuongea bora unyamaze,umetongoza wangapi ukaona kuwa hawakatai?basi unawapenda,wewe kama unaona ni wepesi unawafuata wa nini?wewe ndy hufai,kama umekosa la kuchangia acha tu ndg yangu
Wanyarwanda wako Rwanda!Naona wanyarwanda wamekasirika!
Wewe ndy wa kuoa wahangaza ambao hawatongozwi!acha dharau!!!!!!!!teh teh teh teh Umugore wanjye punguza munkari