Daddo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2013
- 1,435
- 1,025
Tamaduni za watanzania hutofautiana kabila na kabila. Sasa unaposema hakuna tamaduni za tanzania mi sikuelewi. Kumbuka mipaka waliweka wzungu kwa kalamu tu na hivyo makabila yote ya mpakani yana mahusiano sehemu zote mbili za nchi husika. Tamaduni za Tanzania ni kama nembo za taifa basi... Kwani hujakuta bendera za taifa nk?
Hapo ndo fikra zake zilipofikia bora umwache tu maana sijaona lengo la yeye kupost hivi alikuwa lilikuwa ninini na zaidi anaonekana ni mtu wa majungu pia hana cha kufanya leo ndo maana kaona atafute cha kupost.