Titans
JF-Expert Member
- Dec 31, 2010
- 1,459
- 3,373
Hao mkuu beki hazikabi kabisa
hebu dadavua kidogo kaka...wako so natural and black sijui wanapaka nini wakiwa watoto...
Hao mkuu beki hazikabi kabisa
Tamaduni za watanzania hutofautiana kabila na kabila. Sasa unaposema hakuna tamaduni za tanzania mi sikuelewi. Kumbuka mipaka waliweka wzungu kwa kalamu tu na hivyo makabila yote ya mpakani yana mahusiano sehemu zote mbili za nchi husika. Tamaduni za Tanzania ni kama nembo za taifa basi... Kwani hujakuta bendera za taifa nk?
Acheni ubaguzi. Nimefika Ngara nimekaa wiki tatu huko. Wahangaza ni watanzania. Muingiliano haukosekani kwakuwa mipaka ipo karibu sana na mahali pengine hata mipaka haipo. Ni sawa na wamakonde, wamasai, wale kabila la kina Juliana Shonza, wahaya na wengneo wa mipakani
mi nitaoa binti toka Ngara...
Wacha upuuzi wako. Kama huna habari ya kweli ni vyema kunyamaza. Sehemu zote unazozitaja hata huzitaji sawasawa. Ngara ni Tanzania na wahangaza sio watusi ni wahangaza. Wana clans nne na lugha yao ni moja, kihangaza ambacho hushabihiana sana na kirundi, kinyarwanda , kiha na kisubi.[/Q
safi!
Wingi wa utoaji povu sio hoja ndg, toa point!! na hekima zaidi ni kueleza jambo kwa utulivu ikiwa una fact itaonekana tu bila kutoa povu jingi!!! ni kweli wapo wahangaza wa Tanzania ila nyuma ya pazia la kabila la wahangaza wamekuwa wakiingia tena kwa wingi wanyaru.... wajiitao pia kuwa ni wahangaza!!!! na kwa wakati huu wamekuwa wakiingia kwa kasi zaidi ukilinganisha na kuingia kwao hapo nyuma.Utukane kwa aina gani ya matusi it is ok, ni kwamba tu ukweli unauma.
Hata katika yote hayo mfanyayo/wafanyayo kwa hila au kwa ujanja tunataka amani nchini kwetu!!!
Wacha upuuzi wako. Kama huna habari ya kweli ni vyema kunyamaza. Sehemu zote unazozitaja hata huzitaji sawasawa. Ngara ni Tanzania na wahangaza sio watusi ni wahangaza. Wana clans nne na lugha yao ni moja, kihangaza ambacho hushabihiana sana na kirundi, kinyarwanda , kiha na kisubi.[/Q
safi!
Wingi wa utoaji povu sio hoja ndg, toa point!! na hekima zaidi ni kueleza jambo kwa utulivu ikiwa una fact itaonekana tu bila kutoa povu jingi!!! ni kweli wapo wahangaza wa Tanzania ila nyuma ya pazia la kabila la wahangaza wamekuwa wakiingia tena kwa wingi wanyaru.... wajiitao pia kuwa ni wahangaza!!!! na kwa wakati huu wamekuwa wakiingia kwa kasi zaidi ukilinganisha na kuingia kwao hapo nyuma.Utukane kwa aina gani ya matusi it is ok, ni kwamba tu ukweli unauma.
Hata katika yote hayo mfanyayo/wafanyayo kwa hila au kwa ujanja tunataka amani nchini kwetu!!!
Wacha upuuzi wako. Kama huna habari ya kweli ni vyema kunyamaza. Sehemu zote unazozitaja hata huzitaji sawasawa. Ngara ni Tanzania na wahangaza sio watusi ni wahangaza. Wana clans nne na lugha yao ni moja, kihangaza ambacho hushabihiana sana na kirundi, kinyarwanda , kiha na kisubi.[/Q
safi!
sio kujaa dar tu!! wameingia katika kila Wizara na taasisi zetu zote tena kwa kasi kubwa wanapeana nafasi kubwakubwa ktk ngazi mbalimbali za nchi yetu!!!
Eti kila aingiaye toka Rwanda na Burundi mhangaza!!!!!!!!!????? (wa Tanzania.. hakuna lolote!!!)............ (hao ni wanyaru na Warundi........ wa Rwanda na Burundi).
Nasikia Watutsi ndio hao Wahangaza waliojaa hadi Dar.
Unafahamu beki ya Arsenal au ya Liver-fool imesharuhusu magoli mangapi hadi sasa?hebu dadavua kidogo kaka...wako so natural and black sijui wanapaka nini wakiwa watoto...
mulusagamba,muvididili.milamila,k9,lwekubu,kabanga,mutendeli,rusumo,kanaz,kote wamejaa wanyarwada na warundi wanaoitwa wahangaza .rujea ule uzi wa uliosema kagame anaingiza watu wake tz.
Wadau,
Tuache masikhara ya kijiografia na tujikite kiuhalisia, wilaya ya NGARA ni Tanzania ama?
Kama ni Tanzania, basi imetelekezwa na warundi/wanyarwanda wamejiotea mizizi na himaya zao,, amini usiamini hakuna tamaduni za kitanzania katika wilaya hiyo, tembelea ujionee
Basi kama ingelikuwa sio dermacation za wazungu, Ngara kiuhalisia ingelikwenda Burundi. Full stop!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
naona hapa bun inanukia.
Tuna liinchi likubwa mno kiasi kwamba hata mipaka yetu hatuijui.nashangaa kwa nini tunang`ang`ania ziwa malawi,tuwaachie malawi tu.