NGARA ni Tanzania ama?

NGARA ni Tanzania ama?

naona sasa ni wakati muafaka kila mkoa uwe ni nchi,mtwara wabaki na gesi yao, ngara wabaki na kagame.
 
Kama sio watanzania wafukuzwe tu maneno mengi ya nini.Hawa ndo wanatuvurugia nchi
 
JK aliwaza na kumpatia Kagame atleast aongeze ukubwa wa kinchi chake...kwahiyo kijiografia Ngara ni tanzania,kiutawala Ngara ni sehemu ya Burundi.
 
No research no right to talk. Hiyo conclusion umeifikiaje? Umetembelea wapi hadi ufikie hitimisho hilo? Acheni kuliaibisha jamvi wakuu. Hata kama "JF is where we dare to talk openly" haina maana kuwa anything appealing to your intelligence is right or can be spoken about as being Just!!!
 
wote wanaoishi huko ni watanzania tatizo lako wewe unaona Dar ndio Tanzania wewe huko umefika kwa mara ya kwanza nenda mikoa mingine uone kama hayo huyakuti sasa.
 
Rock city hujui unalolisema
tembea ujionee

"kama kukupuuza ni uamuzi,nimechagua kukupuuza"MLM RWAITAMA
 
Tumechoka na hao wajiitao wahangaza wakishahamia kwetu(wanyaru na warundi kulia geuka ..........rejeeni kwenu)!!!!
 
Hivi una una kisa gani na watu wa Ngara?mbona wajaluo wa Tanzania hawatofautiani na wajaluo wa Kenya?ukiwa Sirali karibia mahitaji yote yanapatikana Kenya,mbona usiseme Sirali iko Kenya?nenda Namanga,wamasai wa Kajyado na Siral wana tofauti gani?au una kipi umetumwa kuhusu Ngara?basi tuonyeshe utamaduni unaotakiwa sio kukurupuka
 
Acha upuuzi, mbona dar kuna makabila yote kwani sio mkoa tena kwa sasa kasi ya wasomali ndio inapamba moto, warundi na wanyarwanda munajua fika kwamba nchi yao ni ndogo haitoshi Li nchi la Tanzania ni kubwa muno ngoja nao wafaidi bwana kwani kuoleana ndio nini, kama kuingiliana tabu wafukuzeni machangu wote wanaozaa ovyo na wazungu uko oysterbay na masaki na kuacha vitoto vya kizungu (chotara)
 
We Mzito Kabwela acha dharau,kama umekosa la kuongea bora unyamaze,umetongoza wangapi ukaona kuwa hawakatai?basi unawapenda,wewe kama unaona ni wepesi unawafuata wa nini?wewe ndy hufai,kama umekosa la kuchangia acha tu ndg yangu
 
Wakuu jamvini,
Nimeamua kuanzisha thread hii juu ya Ngara na yanayojiri hapo, tuelewe ndani ya wilaya ya Ngara kuna eneo waasi hujikusanya porini na kuimarisha nguvu zao kisha kuingia Burundi na kutimiza azma yao
Ukiwa vijiji vya jirani ya Rulenge yaani karibu ya (Kabanga Nickel-mgodi) kuna eneo hapo zamani ilikuwepo kambi ya JWTZ na sasa kambi hiyo ilishavunjwa na kuhamishwa, humo porini waasi wa Burundi wanajihifadhi na pikipiki ndizo zatumika saana

Naamini juu ya wahangaza na wala sijaongelea makabila, bali JE NI KWELI MACHO YA SERIKALI YANATAZAMA YALIYOPO NA YANAYOJIRI NDANI YA WILAYA YA NGARA?

Tazama matukio ya ujambazi Ngara, tazama Polisi wanavyouwawa na wananchi, yote haya muktadha wangu ni je kweli central govt iniakisi ipasavyo wilaya hii ya Ngara?
 
Kama lengo lako lilikua kuongelea yanayojiri NGARA iweje uulize kama ni TANZANIA?wewe si ungeongelea hayo yanayojiri na co kusema eti kama ni TANZANIA au lah!kwani matukio ya ujambazi yako NGARA tu?huko kote yanakofanyika nako sio TANZANIA?majambazi yakivamia KARIAKOO nako utasema sio TANZANIA?au ni kutaka kujua wahangaza wana hasira kiasi gani?basi kama mmeona sisi sio watanzania nendeni mkatoe taarifa uhamiaji turudishwe kwetu mmbaki na nchi yenu ya ufisadi na ubaguzi
 
Kama lengo lako lilikua kuongelea yanayojiri NGARA iweje uulize kama ni TANZANIA?wewe si ungeongelea hayo yanayojiri na co kusema eti kama ni TANZANIA au lah!kwani matukio ya ujambazi yako NGARA tu?huko kote yanakofanyika nako sio TANZANIA?majambazi yakivamia KARIAKOO nako utasema sio TANZANIA?au ni kutaka kujua wahangaza wana hasira kiasi gani?basi kama mmeona sisi sio watanzania nendeni mkatoe taarifa uhamiaji turudishwe kwetu mmbaki na nchi yenu ya ufisadi na ubaguzi

Unafikiri kwanini tunawashtukia hao wajiitao wahangaza wa Tanzania?tunafahamu wako wahangaza wa nchi hii ila nyuma yao wako hao wanyaru na warundi a.k.a wahangaza?? uliza Kongo walipowakaribisha,wasivyokuwa na aibu hata kidogo walichokifanya utashangaa sana ndg hawa ni hatari sana, kuhusu tabia zao/zenu, ukiangalia kongo historia inajieleza vizuri???(wanyaru na warundi a.k.a wahangaza!!!!!!????)
 
Unafikiri kwanini tunawashtukia hao wajiitao wahangaza wa Tanzania?tunafahamu wako wahangaza wa nchi hii ila nyuma yao wako hao wanyaru na warundi a.k.a wahangaza?? uliza Kongo walipowakaribisha,wasivyokuwa na aibu hata kidogo walichokifanya utashangaa sana ndg hawa ni hatari sana, kuhusu tabia zao/zenu, ukiangalia kongo historia inajieleza vizuri???(wanyaru na warundi a.k.a wahangaza!!!!!!????)
Wewe mpuu.zi sana. Inaonekana uliugua pepopunda utotoni kwakuwa mzazi wako hakuhudhuria clinic. Huu ulioandika ni uharo jazz band. Usirudie tena kutugawa Watanzania. #@$%^$!@!@$^ ZAKO!
 
ninapoongelea juu ya ngara sijakurupuka, tembea iwe ni nyakanazi, lusahunga, ngara mjini yenyewe, rulenge, rusumo na hata kabanga sehemu hizo za wilaya hii si sawa na maeneo mengine ya mipakani mwa nchi hii kama ilivyo tunduma, namanga, sirari, mbamba bay, mutukula etc
sasa nipo ngara, najionea hali ilivyo, kumesheheni wanyarwanda kuliko warundi, vitendo vya kiharamia vimesheheni, huwezi kuendesha gari yako private baada ya saa mbili usiku hata uwepo ngara mjini, mgeni anajulikana kwa aina ya kiswahili

ni aghalabu kukuta watu wakiongea kiswahili, hakuna fm radio zaidi ya radio za kinyarwanda tena wakilonga kinyarwanda na ndizo zinazosikika, ipo radio kwizera ambayo pia baadhi ya nyakati ilidiriki kutumia kilugha badala ya kiswahili katika utangazaji wake

ninachoamini, ni eneo ambalo limetelekezwa kiujumla ndio maana hata matukio mengi ya uharamia yamesheheni katika mapori mazito na milima mirefu inayoizunguka wilaya hii ya ngara

kwa yeyote, na aitembelee wilaya hiyo ajionee

kwahiyo tufanyeje? Nina wasiwasi na shule yako........
 
Radio Kwizera inaitangaza vema Ngara,,inaelezea maendeleo ya wilaya ile na viunga vyake kama Biharamulo,Kasulu n.k Ndo maendeleo jamani.Hiyo ni Tanzania mpaka itangazwe vingenevyo na mahakama.
 
Back
Top Bottom