donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,523
daaah aisee kweli mkuu itakua burudani sana!Karibu sana mkuu mi nitakuwa pale mida ya 12 jioni nikisubili foleni ipungue pungue na hii hali ya hewa ikiendelea hivi mpaka mida hiyo itakuwa burudani zaidi ya burudani.