Natamani kujua kama hii ni kawaida au mimi ni mtu ajabu. Nakaribia miaka 39 na sina mke wala mtu naetegemea awe mke wangu. Sina mtoto japo ninauwezo wa kuzalisha vizuri sababu nilishawai wapa mimba wanawake watatu tofauti tukazichomoa.
Japo bado sina mke lakini naamini sana kwenye ndoa na kuzaa watoto wangu wote na mama mmoja ndani ya ndoa. Ndio maana sijakubali kuzaa na mtu pia naogopa mtoto kulelewa na mama wa kambo coz nna experience mbaya ya mama wa kambo.
Kitu kinachonifanya niulize sababu kila anaeniuliza kuhusu family yangu nikimwambia sina mke wala mtoto anashangaa sana. Kiasi inanifanya nijione mtu ambaye nimepotea au niko very wrong.
Kifupi mimi sio mtu sana wa mapenzi na nikiwa na mwanamke uwa anakuwa huyo huyo so nikistukia mwanamke sio mwaminifu ananikifu hapo hapo na simtaki tena hii imefanya nimekuwa sikai na wanawake.
Kingine mie ni disminder napenda simple life hata wanawake wangu naowapenda ni wale kama machakalamu fulani unakuta ana vikuku bleach kichwani tattoo Yani mpaka kuna muda uwa najiona kama sipo sawa maana washikaji wanasema huyu sio mke tafuta mke na mimi demu akiwa decent sana hatukai japo mimi ni mpole saana ila sipendi mwanamke yule decent kavaa vitenge sijui kajizungushia mtandio kavaa mosimo. Nimekuwa mtu najitafuta kila siku sijipati.
Sasa nisaidieni nipo sawa sawa au kuna kitu namiss na nifanyeje nibadilike??? Maana naona nitaazeeka sina familia.
Japo bado sina mke lakini naamini sana kwenye ndoa na kuzaa watoto wangu wote na mama mmoja ndani ya ndoa. Ndio maana sijakubali kuzaa na mtu pia naogopa mtoto kulelewa na mama wa kambo coz nna experience mbaya ya mama wa kambo.
Kitu kinachonifanya niulize sababu kila anaeniuliza kuhusu family yangu nikimwambia sina mke wala mtoto anashangaa sana. Kiasi inanifanya nijione mtu ambaye nimepotea au niko very wrong.
Kifupi mimi sio mtu sana wa mapenzi na nikiwa na mwanamke uwa anakuwa huyo huyo so nikistukia mwanamke sio mwaminifu ananikifu hapo hapo na simtaki tena hii imefanya nimekuwa sikai na wanawake.
Kingine mie ni disminder napenda simple life hata wanawake wangu naowapenda ni wale kama machakalamu fulani unakuta ana vikuku bleach kichwani tattoo Yani mpaka kuna muda uwa najiona kama sipo sawa maana washikaji wanasema huyu sio mke tafuta mke na mimi demu akiwa decent sana hatukai japo mimi ni mpole saana ila sipendi mwanamke yule decent kavaa vitenge sijui kajizungushia mtandio kavaa mosimo. Nimekuwa mtu najitafuta kila siku sijipati.
Sasa nisaidieni nipo sawa sawa au kuna kitu namiss na nifanyeje nibadilike??? Maana naona nitaazeeka sina familia.