Neymar kutokushiriki World cup

Neymar kutokushiriki World cup

amuna iyo ww wacha kujifariji Brazil ni aibuuuuuuuuuuu yani aibuuuuuuu ha ha ha haaaa Chezea german machine ww

Aibu what? Hivi kwenye kushindana watu wawili unatarajia nini?

Asiekubali kushindwa si mshindani
 
  • Thanks
Reactions: BAK
I am very sorry to let you know that, tomorrow I'll be cheering for #TeamArgentina, it is not too late to change your mind in order to join me, NN and many others in our camp. Karibu sana kambini kwetu.

BAK we si pia unaipenda uholanzi? Najua sitakua peke yangu lol
 
Ili mradi moyo umependa eeh!!!! changamoto na changabaridi zote unaweka pembeni au kukabiliana nazo, karibu sana #TeamArgentina kukupata shabiki kama wewe kambini kwetu itakuwa poa sana.

Ahsante..bado naipenda brazil zaid na zaid na ntazidi kuipenda yaani ukipenda kitu hata upate misukosuko na changamoto unakubaliana nazo ilimradi moyo umependa.....

Mie mgumu sana kukata tamaa yawezekana mie mbishi lol
 
I am very sorry to let you know that, tomorrow I'll be cheering for #TeamArgentina, it is not too late to change your mind in order to join me, NN and many others in our camp. Karibu sana kambini kwetu.

Heee nlihama man u nkaja arsenal ntashindwa kuja argentina?

TEAM argentina
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Hahahahahaha lol!!!! Karibu sana #TeamArgentina usiwe na wasiwasi kuhusu kesho lazima tuwaondoe Waholanzi warudi kwao wakapande maua kwenye bustani zao. 🙂🙂

Heee nlihama man u nkaja arsenal ntashindwa kuja argentina?

TEAM argentina
 
Ili mradi moyo umependa eeh!!!! changamoto na changabaridi zote unaweka pembeni au kukabiliana nazo, karibu sana #TeamArgentina kukupata shabiki kama wewe kambini kwetu itakuwa poa sana.

Shabiki ana kelele hadi majirani wanakoma..
 

Attachments

  • 1404865924236.jpg
    1404865924236.jpg
    42.2 KB · Views: 52
  • Thanks
Reactions: BAK
Hahahahahaha lol!!!! Karibu sana #TeamArgentina usiwe na wasiwasi kuhusu kesho lazima tuwaondoe Waholanzi warudi kwao wakapande maua kwenye bustani zao. 🙂🙂

Eeeeh na j2 wajeruman warudi kwao
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hahahahaha lol!!! Aisee nimecheka sana huyo shabiki kaifunika TV yake na kubaki akichungulia tu kuona kama yameongezeka au yamepungua. Mie nakwambia haya matokeo ya leo lazima kutakuwa na watu waliojiua au kupata heart attack.

Shabiki ana kelele hadi majirani wanakoma..
 
Hahahahaha lol!!! Aisee nimecheka sana huyo shabiki kaifunika TV yake na kubaki akichungulia tu kuona kama yameongezeka au yamepungua. Mie nakwambia haya matokeo ya leo lazima kutakuwa na watu waliojiua au kupata heart attack.

Hivi ni mara ngapi kwenye soka timu huwa inafungwa magoli saba?

Ni mara ngapi hutokea ndani ya dakika kumi na nane timu kufungwa magoli matano?

Haya matokeo ya leo ni aberration tu.

Hata hiyo kesho naweza kabisa kutabiri kuwa hakutakuwa na score ya ajabu kama hii ya leo.

Na hata kwenye fainali hiyo Jumapili hakutakuwa na score ya magoli saba kwa timu moja.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwi kwi kwi kwi hutaki pressure eeh? Argentina nao wazuri hivyo hata wao kama wataingia kwenye WC final na Brazil wanaweza kushinda pia.

Mkuu.....heshima mbele.....sijawahi kuwa impressed na jinsi Neymar anavyosiwa.....siajona bado umahiri wake...umahiri wa Neyamr uko kwenye midomo ya watu.......na sema tu ana damu ya kupendwa kama Beckham......lakini kwa uwezo kimpira na technic hawezi kumkuta CR7 au Messi........

Argentina walini-let down siku walipocheza na Bosnia.....walipekeshwa puta utafikiri walikuwa wanacheza na Brazil....na staili yao ya uchezaji kwenye hii World Cup is not giving any hope.....bahati imechangia sana Argentina kushinda mashindano haya......Uholanzi akikomaa na yule de-Jong atakuwepo uwanjani hiyo kesho....kwa hiyo mpira utakuwa mzuri......

Ujerumani leo waliweka viungo wao mahiri na wenye kujituma sana na hasa Bastian....huyu mimi huwa namuita.."Jemedari wa Uwanjani".....
 
Mkuu.....heshima mbele.....sijawahi kuwa impressed na jinsi Neymar anavyosiwa.....siajona bado umahiri wake...umahiri wa Neyamr uko kwenye midomo ya watu.......na sema tu ana damu ya kupendwa kama Beckham......lakini kwa uwezo kimpira na technic hawezi kumkuta CR7 au Messi........

Argentina walini-let down siku walipocheza na Bosnia.....walipekeshwa puta utafikiri walikuwa wanacheza na Brazil....na staili yao ya uchezaji kwenye hii World Cup is not giving any hope.....bahati imechangia sana Argentina kushinda mashindano haya......Uholanzi akikomaa na yule de-Jong atakuwepo uwanjani hiyo kesho....kwa hiyo mpira utakuwa mzuri......

Ujerumani leo waliweka viungo wao mahiri na wenye kujituma sana na hasa Bastian....huyu mimi huwa namuita.."Jemedari wa Uwanjani".....

Mazee...hii gemu ya leo Brasil wameji-let down wenyewe.

Hakukuwa na effort yoyote ile ya maana.

Kuanzia goli la kwanza hadi la tatu, yote yalikuwa matokeo uzembe wa hali ya juu.

Kwa jinsi Brasil walivyocheza leo hata wangekuwa wanacheza Taifa Stars wangekung'utwa tu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hahahahaha lol!!! Aisee nimecheka sana huyo shabiki kaifunika TV yake na kubaki akichungulia tu kuona kama yameongezeka au yamepungua. Mie nakwambia haya matokeo ya leo lazima kutakuwa na watu waliojiua au kupata heart attack.

Hata mie nimewaza hivo hivo....tutaskia tu news ila mungu awaepushe mbali na iblisi huyo
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mazee...hii gemu ya leo Brasil wameji-let down wenyewe.

Hakukuwa na effort yoyote ile ya maana.

Kuanzia goli la kwanza hadi la tatu, yote yalikuwa matokeo uzembe wa hali ya juu.

Kwa jinsi Brasil walivyocheza leo hata wangekuwa wanacheza Taifa Stars wangekung'utwa tu.

....arifu.....ulisikia zile kelele uwanjani kabla ya gemu.....maana hata Wajerumani hawakuwa comfortable kabisa.....maana m-Brazil akigusa mpira tu ni kushangiliwa utafikiri kafunga goli......

Kuonekana kwao kucheza hovyo...maana yake ni kuwa walizidiwa sana sana.....na hasa kuanzia katikati na kwenye defense yao.....walisahau kuwa washambuliaji wa Ujerumani na viungo wao ni hatari sana...i.e. wana nguvu/uwezo mkubwa wa kukuadhibu ufanyapo kosa dogo......

...arifu kumbe na wewe unafuatilia hizi gemu!!!......nilifikiri wewe ni NFL, Kick Boxing na NBA....karibu sana arifu...
 
Nashukuru Mungu hapa jamvini hatuna ushabiki wa kiasi hicho, tunataniana hapa tunacheka maisha yanaenda pamoja na kuwa tumekereka in one way or another. Ukimuona Katavi mwambie kesho avae jezi ya #TeamNetherlands.

Hata mie nimewaza hivo hivo....tutaskia tu news ila mungu awaepushe mbali na iblisi huyo
 
Last edited by a moderator:
Halafu baby face wa Germany Gortze hakuwa uwanjani duh balaa iliyoje 7!!!
 
Hata timu mbovu kuliko zote duniani zinazofanikiwa kuingia kwenye Kombe la Dunia ni nadra sana kufungwa magoli kama haya ya leo. Sidhani kama kesho kutakuwa na karamu ya magoli kama leo. Halafu watu wanasema Wajerumani wazuri sana, ukiondoa magoli yao, uchezaji wa timu yao na Brazil wala haukutofautiana kiasi hicho.

Hivi ni mara ngapi kwenye soka timu huwa inafungwa magoli saba?

Ni mara ngapi hutokea ndani ya dakika kumi na nane timu kufungwa magoli matano?

Haya matokeo ya leo ni aberration tu.

Hata hiyo kesho naweza kabisa kutabiri kuwa hakutakuwa na score ya ajabu kama hii ya leo.

Na hata kwenye fainali hiyo Jumapili hakutakuwa na score ya magoli saba kwa timu moja.
 
....arifu.....ulisikia zile kelele uwanjani kabla ya gemu.....maana hata Wajerumani hawakuwa comfortable kabisa.....maana m-Brazil akigusa mpira tu ni kushangiliwa utafikiri kafunga goli......

Kuonekana kwao kucheza hovyo...maana yake ni kuwa walizidiwa sana sana.....na hasa kuanzia katikati na kwenye defense yao.....walisahau kuwa washambuliaji wa Ujerumani na viungo wao ni hatari sana...i.e. wana nguvu/uwezo mkubwa wa kukuadhibu ufanyapo kosa dogo......

...arifu kumbe na wewe unafuatilia hizi gemu!!!......nilifikiri wewe ni NFL, Kick Boxing na NBA....karibu sana arifu...

Nahisi labda waliruhusu emotions zikawatala na hivyo wakakosa kabisa dira na mwelekeo.

Kilichokuwa impressive kwenye hii gemu ni idadi tu ya magoli tena dhidi ya Brasil wakiwa nyumbani kwao.

Lakini si kwamba Wajerumani walikuwa impressive kivile. Lakini mpira ni magoli.

Yaani sijawahi kuona ma defender wazembe kama hawa wa Brasil leo.

Hivi umeangalia replays za hayo magoli jinsi yalivyokuwa yanafungwa? Too easy.
 
Nashukuru Mungu hapa jamvini hatuna ushabiki wa kiasi hicho, tunataniana hapa tunacheka maisha yanaenda pamoja na kuwa tumekereka in one way or another. Ukimuona Katavi mwambie kesho avae jezi ya #TeamNetherlands.


Maisha haya kujikera utakufa siku si zako maana kuna kila aina maudhi....aka mwenzangu nkikereka natafuta kitu cha kunchekesha nachekaaa kwa raha zangu
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK

Similar Discussions

Back
Top Bottom