Neymar kutokushiriki World cup

Neymar kutokushiriki World cup

Thomas Muller anafikisha bao lake la 6 katika mashindano haya!!
Hata yanga sasa wana afadhali
 
Mjerumani ananikumbusha vita ya Maji Maji! Tulipigwa kwa mtindo huu naona
 
Halafu ujerumani wanashambulia kwa usongo kama wanatafuta bao la kusawazisha
Na golikipa wao anakaza utadhani anatafuta timu kubwa ya kuchezea hahahahahahahaha....,!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Halafu ujerumani wanashambulia kwa usongo kama wanatafuta bao la kusawazisha
Na golikipa wao anakaza utadhani anatafuta timu kubwa ya kuchezea hahahahahahahaha....,!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Wamalize na matatu yawe 10 tujue moja........ila wajerumani mbabe wao algeria hawatamsahau alivyowatoa kijasho
 
Acha imalize mechi tuone sababu gani iliyofanya tufungwe magoli isabu ya netball lol
 
BAK we si pia unaipenda uholanzi? Najua sitakua peke yangu lol
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Wamalize na matatu yawe 10 tujue moja........ila wajerumani mbabe wao algeria hawatamsahau alivyowatoa kijasho
BRAZIL kushneiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Wameufyataaaaaaaaaaaaaaaaa
 
BRAZIL kushneiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Wameufyataaaaaaaaaaaaaaaaa

Leo namuona benard tu wengine wote siwaoni na dante nae kazidisha idadi beki n fowad hazikuzibwa kabisaaaaa
 
Hujui mpira ww, mduch kwa argentna wachukilia poa eeeeeee


Sent from my iPhone using JamiiForums.

Pole sana mkuu naona timu yako imekula seven!! Told you earlier bila Silva Brazil hamna kitu!!
 
Pole sana mkuu naona timu yako imekula seven!! Told you earlier bila Silva Brazil hamna kitu!!

Sawa bosi nmekubali kushindwa, natupa karata yangu ya mwisho kwa Argentina Mkuu


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
Pole sana, told you early today, bila Silva pale nyuma was a disaster and it has come to pass!

Ahsante..bado naipenda brazil zaid na zaid na ntazidi kuipenda yaani ukipenda kitu hata upate misukosuko na changamoto unakubaliana nazo ilimradi moyo umependa.....

Mie mgumu sana kukata tamaa yawezekana mie mbishi lol
 
Sawa bosi nmekubali kushindwa, natupa karata yangu ya mwisho kwa Argentina Mkuu


Sent from my iPhone using JamiiForums.


Argentina bila Di Maria mkuu na mshikemshike wa Robben sijui itakuwaje but lets wait and see!
 
Ahsante..bado naipenda brazil zaid na zaid na ntazidi kuipenda yaani ukipenda kitu hata upate misukosuko na changamoto unakubaliana nazo ilimradi moyo umependa.....

Mie mgumu sana kukata tamaa yawezekana mie mbishi lol


I know but thats how soccer is and the genesis start with being the host yani huchezi game ngumu hata kidogo so they had not well prepared well. Yani kama mimi Scolari, ningepack the bus after the second goal!
 
Ahsante..bado naipenda
brazil zaid na zaid na ntazidi kuipenda yaani ukipenda kitu hata upate
misukosuko na changamoto unakubaliana nazo ilimradi moyo umependa.....

Mie mgumu sana kukata tamaa yawezekana mie mbishi lol
amuna iyo ww wacha kujifariji Brazil ni aibuuuuuuuuuuu yani aibuuuuuuu ha ha ha haaaa Chezea german machine ww
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom