Kumbe haya mapenzi na #TeamBrazil umeyaanza siku nyingi eeh? Hongera zako, niko calm leo ni dalili nzuri za ushindi lakini sasa ngoja iwe timu ziko sare huku zikiwa zimebaki dakika chache mpira kwisha hapo ndio mchecheto huanza na kuanza kuwa na wasiwasi wa hali ya juu lakini uzuri wangu mie sina midadi kama weye lol!!! hahahahaha wa kurusha miguu na mikono huku na kule kama kuna mtu jirani yako ole wake hukawii kumtandika teke la uso kwi kwi kwi kwi GO! #TeamBrazil GO!
Kumbe haya mapenzi na #TeamBrazil umeyaanza siku nyingi eeh? Hongera zako, niko calm leo ni dalili nzuri za ushindi lakini sasa ngoja iwe timu ziko sare huku zikiwa zimebaki dakika chache mpira kwisha hapo ndio mchecheto huanza na kuanza kuwa na wasiwasi wa hali ya juu lakini uzuri wangu mie sina midadi kama weye lol!!! hahahahaha wa kurusha miguu na mikono huku na kule kama kuna mtu jirani yako ole wake hukawii kumtandika teke la uso kwi kwi kwi kwi GO! #TeamBrazil GO!
Wakipita kesho mkuu, kombe ni lao!
Washafungwa tano ndani ya 30 minutes
Mkuu say that again, Willian is better than Neymar and Dante better than Silva! Whoa never heard this before!!
Sijui kwann bado sijakata tamaa
Wacha masihala we leo brazil wataandamana na hizo bado klose anaweka historia leo!!
Hili li timu ni libovu tokea mwanzo waliibebabeba tuu ili fujo zisitokee, ngoja leo tuone mwisho.
Na sie tunafunga 10...huu mpira sijui kama utaisha salama
Takwimu za Neymar Brazil 2014
Mechi alizocheza: 5
Dakika alizocheza: 457
Mashuti golini : asilimia 72.2
Magoli aliyofunga: 4
Pasi zilizotoa goli: 1
Na katika mchezo wa nusu fainali dhidi ya Ujerumani nahodha Thiago Silva hatokuwepo kutokana na kutumikia adhabu ya kadi mbili za manjano.
Wachambuzi wanasema Brazil ya Scolari inaonekana kutofuata ile sera ya Ki-Brazil ya "O Joga Bonito" (yaani kandanda safi) badala yake inacheza kupata ushindi kwa njia yoyote. Mjadala uendelee hapa kistaarabu bila kutoleana maneno machafu. Shukran.
Hapa bado saa itasimama kwa 9 bila