Nyota wa Brazil Neymar jana alivunjika uti wa mgongo baada ya kugongana na mwenzake dakika tano kabla ya mechi na Colombia kuisha na Brazil kushinda bao mbili kwa moja.
Pia watamkosa beki Thiago Silva alielimwa kadi mbili za njano.Brazil itaivaa Ujerumani katika mechi ya nusu fainali inayotarajiwa kuwa na ushindani mkali.
Pia watamkosa beki Thiago Silva alielimwa kadi mbili za njano.Brazil itaivaa Ujerumani katika mechi ya nusu fainali inayotarajiwa kuwa na ushindani mkali.