Neymar kutokushiriki World cup

Neymar kutokushiriki World cup

Hope scolari ataipanga vyema mchezo ila fred tu ampumzishe bhana

You cant win the world with such mediocre strikers sampuli ya Fred, he cant run, cant create spaces, cant position himself well etc..then you have another one Jo, yani I wonder huyu Scolari alikuwa anawaza nini to take such players
 
Mhhhh! Sidhani kama kesho anaweza kucheza labda kwenye final game kama watashinda kesho, atakayecheza badala ya Neymar kesho ni Willian naye ni mzuri ila si kwa kiwango cha Neymar.

William namuamini na afro yake lol....

Labda fainal ataweza uskute kukosekana kwake pengine ndio mechi zitakua kali lol
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwi kwi kwi kwi hutaki pressure eeh? Argentina nao wazuri hivyo hata wao kama wataingia kwenye WC final na Brazil wanaweza kushinda pia.

Umeanza sasa....ushindi kwa brazil tu

Kombe halipandi ndege
 
  • Thanks
Reactions: BAK
You cant win the world with such mediocre strikers sampuli ya Fred, he cant run, cant create spaces, cant position himself well etc..then you have another one Jo, yani I wonder huyu Scolari alikuwa anawaza nini to take such players

Mie akimueka fred ananichosha kweli....hivi wewe team gani?
 
Possibility ya kombe kupanda ndege ni kubwa sana!

Na tuoe.....piga uwa halipandi ndege

Siku ya mwanzo tu walipocheza na croatia nliona hii....

Brazil tumeamka ijapokuwa si kama ya kina ronaldo de lima
 
Mie akimueka fred ananichosha kweli....hivi wewe team gani?

He he he, kuna joke inaendelea people are wondering how Brazil has been winning games with ten men meaning yani Fred ni kama hayupo vile. Bado nawafagilia wadachi!
 
Na tuoe.....piga uwa halipandi ndege

Siku ya mwanzo tu walipocheza na croatia nliona hii....

Brazil tumeamka ijapokuwa si kama ya kina ronaldo de lima

I wont be shocked final ikiwa kati ya wadachi and Germans!! Possibility ipo ingawa najua mcheza kwao...
 
He he he, kuna joke inaendelea people are wondering how Brazil has been winning games with ten men meaning yani Fred ni kama hayupo vile. Bado nawafagilia wadachi!

Hahahaha its a miracle sasa akipumzishwa fred na kuwa team kamil 11 si ndo itakua balaa
 
I wont be shocked final ikiwa kati ya wadachi and Germans!! Possibility ipo ingawa najua mcheza kwao...

Itakua baina ya sisi na argentina.....

Siku ya 12 tutafunga 2-1....

Natabir tu japo me si yahya hussein
 
Hamna lolote wee subir kina muller tutavyowakimbiza kuliko walivyotololewa kijasho na kina slimani (algeria)


Timu zinatofautiana sana, yani kesho your midfielders lazima wafanye kazi ya ziada kubaliana na the German machine, na msiombe mpelekwe penalt since 1978 they have gone to penalties 5 times in big tournaments na wameshinda zote, in short penalties ndio nyumbani kwao!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom