Heshima mbele mkuu usiyeonekana......! thanks a million times man!
In Kagoda.....ivi mabenki yetu (hasa hii CRDB) yanaplay role kuzuia ufisadi na Money loundering kwa ujumla? hivi inawezekanaje kupitisha multibillion transactions zote hizo hata kustukia na kufuatilia legitimacy ya fedha hiyo? Nafikiri hawa wenye bank wangetusaidia sana kupambana na ufisadi kama wangeamua kuwa wazalendo!
Mkuu NL, hapo umenena, hivi haya mabenki yetu yanajua yatendalo?? Wapi wale wakubwa wa BOT, hawa nao si wana wajibu wa kuhakiki shughuli za kibenki kwa benki zote Tz??? Au ndio ilikuwa amri ya wakulu so kila kitu ni kupeta wka kwenda mbele?? Jamani, hivi kweli jamani hawa watu wetu wana vitu kweli mule vichwani vyao au ndio mambo ya "kitu kidogo?". Ukienda kwabwela kufungua akaunti majiswali kibao mpaka unatamani kuweka pesa zako chini ya godoro lakini same banks wanapitisha maji transaction makubwa namna hii!!??
Sikubaliana persee na NN, lakini Mkuu NN ni hard kukataa kabisa, WaTanzania ndivyo................
Nadhani tuiachie Mahakama kutekeleza wajibu wake.