Embu wakuu tieni neno hapa

Embu wakuu tieni neno hapa

Back N days

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2026
Posts
318
Reaction score
839
Gentlemens woz-up?

Ipo hivi kuna mke wa mtu tulikutana tumezoea na kuanza mahusiano ya kimapenzi japo hatukuwai kutana kimwili hata siku moja .

Kwa maana anadai mme wake yupo nae anamchunga sana hivyo kutoka inakuwa kipengele kwake .

Sasa mimi nimeona isiwe case tuachane tu make nitakuwa nimeepuka mengi kuliko kuwa nae kwenye mahusiano na kusubili upenyo( nafasi) nipewe mbususu nichakate nimeamua kujitoa huko.


Au wakuu ninyi mnasemaje hapo?
 
Achana na mke wa mtu, wanawake wazuri wapo wengi mtaani wazuri hawana waume wala wapenzi. Kuingia kwenye mahusiano au ndoa ya watu ni kuchafua agano la watu na kuingia kwenye agano la watu.

Mwisho wa siku utajikuta unaingia kwenye matatizo kijana
 
Gentlemens woz-up?

Ipo hivi kuna mke wa mtu tulikutana tumezoea na kuanza mahusiano ya kimapenzi japo hatukuwai kutana kimwili hata siku moja .

Kwa maana anadai mme wake yupo nae anamchunga sana hivyo kutoka inakuwa kipengele kwake .

Sasa mimi nimeona isiwe case tuachane tu make nitakuwa nimeepuka mengi kuliko kuwa nae kwenye mahusiano na kusubili upenyo( nafasi) nipewe mbususu nichakate nimeamua kujitoa huko.


Au wakuu ninyi mnasemaje hapo?
Mchakate
Uchakatwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom