Hii thread inaenda kwa kasi sana kama wimbo ulivyomtamu kuusikiliza na kuutazama
Kama RONALDO
Najutaaaaa kumfahamu huyu kijana sijui anaitwa Domo, Malaya,hakusoma,Limbukeni,Mjinga tu.
Mpaka sasa siamini kama hi video ni yake atakuwa kaiba kwa mtu hii.
EEEE MWENYEZI MUNGU, MPATIE MAISHA MAREFU HUYU KIJANA.. Amen
Asisahau kwenda kulipa ada ya watoto aliowatelekeza mungu hapendi
Ha haaa ila kiba anatuangusha mzee mwenzangu lazima tupambane domo ndo anatutimulia vumbi hivyo
Hii video ni sheeeda....hongera sana diamond
hahahahahahahahahaaaa usinikumbushe, sio kwa mbwembwe zile, Mungu nae anajua kuumbua vibaya nyieee,???? eti nimekuja kufuta vumbi kiti changu, mxiuuuuu!!! miaka mitatu unaranda randa tu mitaani kama uuubwaaa wa sokoni na kazi ya kuzalisha kila mtaa, nguvu huna akili hunaa, zote umemalizia kwa wanawake, alafu ujilete tuu kirahisi rahisi tuu, kisa umeskia mwenzako kavuka boda, oooh! nimekuja kufuta vumbi, heheheeeiyaaa utaramba vumbi mpaka ujutreeee!
utumbo mtupu wimbo wa ovyo kabisa
Music biashara bana, Pesa alio iweka kwenye hii video inaonyesha ni jinsi gani Dogo yupo makini na anacho kifanya,
***** zako Platnumz, Unanipa furaha sanaaaa Mtanzania mwenzako,
Much love Chibuuuuuuuuuuuuuu
Wapi k 4 real chekecha cheketua video???
Kichupa kikali sana na kitafanya vizuri kwenye tv. ......audio asiiachie mapema kwenye radio ili watu waizoee video, maana wimbo sio mzuri kwa hadhi ya diamond.