hahaaa silence means YES, wamekubaliiiii, chibu ni fever ya Africa sio bongo tena
Walitumiana pm kuwa wasuse.!
Wapi UNANITAKA njoo basi na leo uje utoe mipovu katika hili...silence means yes mmeelewa eee kwmba mondi ni habari nyengine!yani apa ndo unapozitofautisha kati ya msalaba na kujumlisha hlf kuna ex na kuzidisha...ni checheeer
Video kali sana viwango vile vile vya kimataifa.. Ila audio big no, katuangusha waafrica.
Walitumiana pm kuwa wasuse.!
Wanaishi kwa shida sana, wanajaribu kuzuia mafuriko kwa kiganja.hata ule aloshirikiana na true boy waliususia roho zinawauma sana
Nimependa wasanii wengine walivyoonekana mle ndani kama Vmoney,Brackett,Iyanya na wengine,imependeza kwa kweli amejitahidi sana.
Nimependa wasanii wengine walivyoonekana mle ndani kama Vmoney,Brackett,Iyanya na wengine,imependeza kwa kweli amejitahidi sana.
Katisha kwa video namkumbali sanakwanza moti moti motiii sikikiaaa, mwanzo nashitua kijotii naumiaaaa, moyo wangu tiih tiih tiih unakimbiaaa,,, uoga wa manoti notiii nahofiaaa,,,, Oooooh! usije niacha ka naniii, ntaumia sana,,,, oooh honey utaniumiza na ntachekwa mtaani ntalia mama......
Video nzur nyimbo No
hii ni kwa sababu mpaka leo imekuwa ngumu kwake kutofautisha + na × , anasubiri kipaji na ile sauti inayotokeaga puani kama demu mwenye mafua vimuwakilishe.
Yani ata ile nana n sankoro hhujaelewa mkuu!na pale usije kuniacha km nanii ntaumiaa na tukipata baga tutakula tukikosa tutalalagaa...au mkuu unackilizia kw kutumia kiungo gn cha mwili?Video nzuri, ila sijaelewa alichoimba kiukweli