New Release Diamond ft Mr. Flavor

New Release Diamond ft Mr. Flavor

kujua kama nguchirrro wamo wanapishana humu ndani kama siafu, ngoja ajitolee mmoja wao aiponde hii video, utawaona watakavyojazana hapo na likes zao yani huwa nachekaga mpaka mbavu zinauma, stress ugonjwa ubaya sana, hivi ilikuwaje Mungu ananipendelea uwezo wa kujua vitu vitamu hivi??? kwi kwi kwi kwiiiiii. I LOVE U DIAMOND U ARE MY HEROOOOOOOOOOOOOOO
 
Najutaaaaa kumfahamu huyu kijana sijui anaitwa Domo, Malaya,hakusoma,Limbukeni,Mjinga tu.

Mpaka sasa siamini kama hi video ni yake atakuwa kaiba kwa mtu hii.


EEEE MWENYEZI MUNGU, MPATIE MAISHA MAREFU HUYU KIJANA.. Amen
 
Kumchukia Diamond kwa sasa Sawa na kujipunguzia siku za kuishi.

Najisikia furaha sana kuwa sehemu ya kizazi cha Tanzania kilichoshudia Mwanamziki wa Kitanzania akitikisa Africa.

Wakati wenzetu walishuhudia Taifa Stars ikicheza mataifa huru Nigeria mwaka 1980, sisi tunashudia kijana wetu akitingisha Africa.

Ningependa Kiba awe Diamond wa pili aachane na Team za Kijinga aanze kufanya mziki biashara sio furahisha genge.

Kiba Anza kuangalia mbele, la sivyo akina Wanjera watakupita hapo hapo na tuzo zako za kupendwa.!

Nikweli ila mnampanikisha wajameni atakuja imba madudu bure mzee wa ndondo🙂
 
Kule kwingine vp kiti bado hakijafutika vumbi tu?

hahahahahahahahahaaaa usinikumbushe, sio kwa mbwembwe zile, Mungu nae anajua kuumbua vibaya nyieee,???? eti nimekuja kufuta vumbi kiti changu, mxiuuuuu!!! miaka mitatu unaranda randa tu mitaani kama uuubwaaa wa sokoni na kazi ya kuzalisha kila mtaa, nguvu huna akili hunaa, zote umemalizia kwa wanawake, alafu ujilete tuu kirahisi rahisi tuu, kisa umeskia mwenzako kavuka boda, oooh! nimekuja kufuta vumbi, heheheeeiyaaa utaramba vumbi mpaka ujutreeee!
 
hahahahahahahahahaaaa usinikumbushe, sio kwa mbwembwe zile, Mungu nae anajua kuumbua vibaya nyieee,???? eti nimekuja kufuta vumbi kiti changu, mxiuuuuu!!! miaka mitatu unaranda randa tu mitaani kama uuubwaaa wa sokoni na kazi ya kuzalisha kila mtaa, nguvu huna akili hunaa, zote umemalizia kwa wanawake, alafu ujilete tuu kirahisi rahisi tuu, kisa umeskia mwenzako kavuka boda, oooh! nimekuja kufuta vumbi, heheheeeiyaaa utaramba vumbi mpaka ujutreeee!

ha ha ha.
 
kama ni kijana lazima utakuwa Teja la Unga kama ni Mzee ww ni Mchawi tena wa uswahilini kabisa

na usipoangalia kuna siku utakuja mkataa hata mama yako aliekuzaa!

Chuki gani hzo

unadhani yamemtoka moyoni hayo basi, yameanzia hapo kwenye tip ya ulimi i can feel it, so asikushtue. mwenye jeuri wa kutoipenda hii video hayupooooo!!??? nishasema!
 
Frankly speaking!! Yaa Kawaidaaa sanaa tena Sana naweza kusema NITAMPATA WAPI that video is super hot than this one! Kwa sababu hii kuu

1. sauti imemezwaa na beat ya nahrel. 2. Amejitahid kufanya combination ya masta mbalimbali ili iwe inavutia ila kwa uhalisia ni Normal thing nothing Big.
3. Ubunifu Wa mashairii unazidii kupungua sijui inakuajee.

Note:this are my opinion sina team please, naongea nachokionaa na ninavyomjuaa.

tumekusoma ......onanaa.......
 
p
Diamond kamaliza kazi. Sasa nani tena anayeitwa mpinzani hapa?

Safii Diamond umetisha, yule bint mchawi pamoja na kuitwa huku kashindwa kutia timu. Yupo kule kwenye gofu lao anamwaga matusi. Poleni mtaa uleee.

hahahahaaaa mimi naufananishaga ule mtaa wao kama mtaa wa mayatima, huhuhuuuuu ukiwakuta wenyewe wanavyoliwazana kwa kitu hicho hichooo 24/7 hawanaga kipya cha kuzungumza maskini, hadi utawaonea Imani, lakini mimi nilishaachaga kabisa kukatiza mtaa ule.
 
Najutaaaaa kumfahamu huyu kijana sijui anaitwa Domo, Malaya,hakusoma,Limbukeni,Mjinga tu.

Mpaka sasa siamini kama hi video ni yake atakuwa kaiba kwa mtu hii.


EEEE MWENYEZI MUNGU, MPATIE MAISHA MAREFU HUYU KIJANA.. Amen

better late than never.
 
Music biashara bana, Pesa alio iweka kwenye hii video inaonyesha ni jinsi gani Dogo yupo makini na anacho kifanya,


***** zako Platnumz, Unanipa furaha sanaaaa Mtanzania mwenzako,
Much love Chibuuuuuuuuuuuuuu
 
Back
Top Bottom