data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,943
- 23,883
Kwanza ni nadclare interest mimi ni TeamKiba Damu damu.
Nipo safarini network inasumbua lakini nimejaribu kuipitia kidogo ila kiukwel huu wimbo ni mkali kuanzia Audio mpaka video, lakini ngoja kwanza badae nitaipitia tena vizuri ili nibaini mapungufu yake maana nimeona jamaa kacope script nyingi za wimbo wake wa moyo wangu kitu ambacho kineondoa radha nzima ya hii video yani kama mtu umewahi kuona video ya Diamond moyo wangu basi ukiona hii utakeleka sana maana ni cppy and paste, pia mr.flavor kambeba sana diamond yani kama bila mr.flavor basi sijui huu wimbo ungeishiwa kuchezwa bar tu na uswahilini.
Lastly, ila haka kajamaa kidogo kanajua mziki japo bado sana kumfikia kingKiba for real, maana kwa mziki huu wa kubebwa na davido mara mr.flavor basi diamond kumfikia kingkiba ni miaka 1000.
#KINGKIBAFOREVER
Better late than never.
Washtue
na wenzio