New Release Diamond ft Mr. Flavor

New Release Diamond ft Mr. Flavor

Frankly speaking!! Yaa Kawaidaaa sanaa tena Sana naweza kusema NITAMPATA WAPI that video is super hot than this one! Kwa sababu hii kuu

1. sauti imemezwaa na beat ya nahrel. 2. Amejitahid kufanya combination ya masta mbalimbali ili iwe inavutia ila kwa uhalisia ni Normal thing nothing Big.
3. Ubunifu Wa mashairii unazidii kupungua sijui inakuajee.

Note:this are my opinion sina team please, naongea nachokionaa na ninavyomjuaa.

Hakuna ukweli katika ulilo lisema tena Audio ni kali kuzidi video...mwisho umejiami bila sababu
 
hivi nifah yumo JF leo manaake kimyaaaa...tunakusubiri utupe le comment ! you know we lav it!
na yule beyonce sijui yuko wapi leo
 
ametishaaa jamaa.....sichoki kukisikiliza hki kichupa
 
daaaaaaaaah, hizi nyengine tena ligi platnumz kama umechanjiwa huu mziki!!!!!hujawah kuniangusha dangote bin laden boge ya hit wataelewa tu...coz now mioyo yao tih tih tih inaumiaaa baby yoo....ni shigder. Kama Ronaldo saa twendweeee sankoro sankorooo mmmh mmmh.Thank yu bro I am humbled you know.
 
ndio maana SITAKAA NIJUTIE MILELE KUMPENDA DIAMOND, hajawahi kukosea yaniiii, i was like wooooooowww!!!! Nitakupenda daima almasi wangu, wewe ndio msanii pekee uujazao moyo wangu furaha, linapokuja swala la burudani ya muziki, niende kwa jirani kufata nini kwa mfano??? nyumbani manyama kila siku, am so proud of u boy!
 
hahahahahaaaa my weekend jamani, kila saa naitazama dancing moves, are killing me jamani, mwendo wa kunata na bits, hivi watanzania mnataka nini tena????
 
sawa lakini hiyo haimaanishi Kiba mbovu ingawa ana matatizo yake yanayotukwaza sisi mashabiki wake!mi sio shabiki maandazi!!domo yuko juu kikukweli hata the way anavofanya kazi unaona kabisa huyu sasa anahama hizi level za kibongo bongo!... nikuambie kitu?? wakati domo anavuka boda kufanya shooting kali kama hizo, Leo Kiba alikua pale viwanja vya benjamini Mkapa anacheza ndondo na watoto wa mtaani!!... kaniboa kweli huyu jamaa leo!! upo bize na ndondo halafu unataka kupambana na domo kwenye mziki??

pole mwaya, si unajua tena watu wenye vibaji vyao, husubiri kipaji kiwafanyie kazi badala ya wao kukifanyia kazi kipaji, lakini sisi waswazi wa tandahimba sijui tandale NGUVU, UBUNIFU, MAARIFA, KUJITUMA, KUJITAMBUA NA NJAA YA MAFANIKIO ndivyo vinavyotuweka mjini.
 
pole mwaya, si unajua tena watu wenye vibaji vyao, husubiri kipaji kiwafanyie kazi badala ya wao kukifanyia kazi kipaji, lakini sisi waswazi wa tandahimba sijui tandale NGUVU, UBUNIFU, MAARIFA, KUJITUMA, KUJITAMBUA NA NJAA YA MAFANIKIO ndivyo vinavyotuweka mjini.

well said....kama RONALDO
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom