Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,568
Frankly speaking!! Yaa Kawaidaaa sanaa tena Sana naweza kusema NITAMPATA WAPI that video is super hot than this one! Kwa sababu hii kuu
1. sauti imemezwaa na beat ya nahrel. 2. Amejitahid kufanya combination ya masta mbalimbali ili iwe inavutia ila kwa uhalisia ni Normal thing nothing Big.
3. Ubunifu Wa mashairii unazidii kupungua sijui inakuajee.
Note:this are my opinion sina team please, naongea nachokionaa na ninavyomjuaa.
Hakuna ukweli katika ulilo lisema tena Audio ni kali kuzidi video...mwisho umejiami bila sababu