Sugarsukari
JF-Expert Member
- Mar 17, 2015
- 744
- 837
That's nyc nini kiliwatenganisha?Nakumbuka alivokua akini treat vizuri.... So still remembering yeyeee
That's nyc nini kiliwatenganisha?Nakumbuka alivokua akini treat vizuri.... So still remembering yeyeee
ulipasha kipolo eehhJana nilikutana na cha kale
neno lolote litabeba ujumbe kwa woteMwenye ma ex 20? atajaza ukuta!
Yeah sikuwa na namna nyingine mkuuulipasha kipolo eehh
basi vizuri,ila usijenge tena kibandaYeah sikuwa na namna nyingine mkuu
Mkodi scopiontena wagongwe na treni yeye na kibaasha chake wasiwepo kabisa katika uso huu wa dunia unaijua akaunti yangu nadhani umenipata na siku nikimiliki mguu wa kuku nawadungua hizo ngoko zenu mkiingia katika anga zangu
mfyuuuuuuuu !![]()
![]()
mkuu wapelekee na zawadiWacha waoanee
Mmhh ata sielewi ingawa wote bado tunapendana lakini hatuwezi tena kuwa pamojaThat's nyc nini kiliwatenganisha?
Mkuu akimuita makonda na diamondAendelee tu na maisha yake!
Alinisingizia kanifumania huku anatafuta gia ya kuniacha nisimdai hela zangu!!!! a good (28 mil)
Ajabu kila mtu alkmshangaa! Alikuwa anasimamisha hadi wapita njia kusema kanifumania (ni kipind sitakisahau)
Lakin familia zote yangu na kwao walikuwa pamoja na mimi
Sasa anatuma watu kuomba msamaha (niliwaambia azunguke tz yote aweke mkutano kila balozi ya kuomba msamaha) ni hiyo mikutano yote iwe live kweli medias
afu ipakigiwa promo na cloud kama ya fiest na sa3 akaisoma salim kikeke utakuwa bado hujardhia mkuuDah jf kuna mabinti wakali sana kama picha ya Profl ni yako....sjui jamaa aliwezaje kukufanya exNakupenda, na nitazidi kukupenda! Mungu akupe maisha marefu.
KuanziaaAisee umanigusa maana kuanzia tar 21 mwezi huu anaolewa!!!!
Hata muanzisha uzi kutoa maneno mengi na sio mojaHapa ndipo nnapochoka na wananzengo hawa. Muanzisha uzi kasema "Neno moja kwa X wako"
Watu wameandika paragraphs!