Yupi sasa, yule wa kwanza au..??Namtakia heri na baraka katika maisha yake
Kwahiyo mwendo wa kupasha kiporo na vile hakihitaji moto mwingiEx tafadhari, jua kuwa ex hatongozwi...
HahahaNazani unajua hatukuachana tulipoteana tu...
Yatamkuta hayo manenoBora ulovyoenda zako ulikua unanichelewesha tuu...mambo now ni bambam..
Sent using Jamii Forums mobile app
DuuhhhSend my love to your new love
Utakua na Y weweSina x mwayaaa
😳😳😳😳Rose mtindi wako na pasi yako ndio kilichonitoa baru. Ila kupasha kiporo kama kawaida