Neno lolote kwa ex wako

Neno lolote kwa ex wako

tena wagongwe na treni yeye na kibaasha chake wasiwepo kabisa katika uso huu wa dunia unaijua akaunti yangu nadhani umenipata na siku nikimiliki mguu wa kuku nawadungua hizo ngoko zenu mkiingia katika anga zangu
mfyuuuuuuuu ![emoji57] [emoji57]
Inaonekana bado unakumbuka mikito yake. .....kukumbushia nayo imo
 
Not every girl is after money and fame but sincerity and care..... What goes around comes back around...!
 
Ulikua na nyodo ukaniacha na kuolewa lkn leo unaniombea papuchi yako iliyolegezwa na watoto uloozaa na huyo bashaako
 
Anyway, acha nimzungumzie yule mmoja wa Tabora sababu kaichange tittle yangu,,, kwa kipindi kile sikujua maana ya true love, kiukweli ulinipenda zaidi ya sanaaaaa tatizo ujana na utoto vilinisumbua so nkawa sielewi, milele dua njema nakuombea, aggriiii acha maisha yaendelee tu!!!
 
Back
Top Bottom