Neno la leo: The Perfect Guy

Neno la leo: The Perfect Guy

Hvo vilivotajwa hapo wanaume wengine wanavyo,sema tu huwezi pata ambae ana kila kitu unachopenda,yani lazima kuna sehemu kuna 'shoti' ambayo kuimesa inakuwa ngumu,il cz unampenda inabidi umeze

afu na wanawake nao huwa hawapendi wanaume pafekti! sometimez huwa wanataka kuona hasira za mwenzie ziko wapi!

nshawaona wengi wa hivyo!
 
Neno la leo linasema hivi, to all MMUs looking for the perfect guy....

"The perfect guy
Doesn't DRINK
Doesn't SMOKE
Doesn't CHEAT
And Doesn't EXIST"

..
Sio kweli, mbona wapo wengi wenye sifa hizo na zaidi. Kama alivyosema Fixed Point wake ana-exist na wangu pia yupo.....Aaaah samahani aisee kumbe unazungumzia wanaotafuta hawawezi kupata mtu mwenye sifa hizo, lkn wapo mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Nice guy is here!Never cheat but he is incorrigible drinker!

Nisipokunwywa naumwa bana!Viroba vinafanya maisha yangu yawe mepesi!!
 
Since i exist.... then that answers the whole thing............... but i somehow second this.
 
Back
Top Bottom