Hamza Nsiha
JF-Expert Member
- Jul 25, 2022
- 208
- 191
Ukweli ni kwamba kuna maneno mengi sana ambayo yanatumika na watu mbalimbali hususani pale wanapotaka kumkatisha tamaa mtu mwingine.
Binafsi, kuna neno "Sio kirahisi hivyo kama unavyodhani" Hili ni neno ambalo limeachisha mawazo ya watu wengi kuhusiana na kujihusisha na jambo fulani.
Mfano, unaweza kuwa umefikiria kuanzisha biashara katika eneo fulani, lakini watu wengi watasema kuwa "kwa hilo eneo sio rahisi kama unavyofikiria kufanya biashara hiyo" Lakini ukweli ni kwamba endapo utalianza jambo hilo utagundua sio kama lilivyokuwa likizungumziwa awali kwa maana linaweza kuonekana jepesi zaidi.
Je! Ni neno gani lingine mwana Jamii Forum umewahi kulisikia au kuambiwa ambalo dhahiri lilikurudisha nyuma katika kutekeleza jambo lako?
Hamza Nsiha ~
Binafsi, kuna neno "Sio kirahisi hivyo kama unavyodhani" Hili ni neno ambalo limeachisha mawazo ya watu wengi kuhusiana na kujihusisha na jambo fulani.
Mfano, unaweza kuwa umefikiria kuanzisha biashara katika eneo fulani, lakini watu wengi watasema kuwa "kwa hilo eneo sio rahisi kama unavyofikiria kufanya biashara hiyo" Lakini ukweli ni kwamba endapo utalianza jambo hilo utagundua sio kama lilivyokuwa likizungumziwa awali kwa maana linaweza kuonekana jepesi zaidi.
Je! Ni neno gani lingine mwana Jamii Forum umewahi kulisikia au kuambiwa ambalo dhahiri lilikurudisha nyuma katika kutekeleza jambo lako?
Hamza Nsiha ~